Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

Muziki wenyewe tayari ni lugha ambayo inaeleweka dunia nzima. Music itself is a universal language. Wahindi wametuimbisha sana masongi na tulikuwa hata hatuelewi wanachoimba. Sasa Kuch Kuch Hota Hai nani alikuwa anaelewa?

Una hoja dhaifu.
 
Muziki wenyewe tayari ni lugha ambayo inaeleweka dunia nzima. Music itself is a universal language. Wahindi wametuimbisha sana masongi na tulikuwa hata hatuelewi wanachoimba. Sasa Kuch Kuch Hota Hai nani alikuwa anaelewa?

Una hoja dhaifu.
 
Ina maana kwa kipindi ambacho walikua sawa kimuziki diamond alikua anatumia lugha gan

Lugha sio kigezo sana cha kufanya muZiki unaoufanya ufike mbali. Music it's all about melody.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sidhani kama mondi alikuwa Sawa na hao jamaa kimuziki kabla , davido alikuwa juu kuliko mondi for that time ndio maana mondi alimtumia davido kujukikana zaidi baada ya kumshilikisha
 
Mleta uzi mziki mzuri sio lugha asee, mziki mzuri ni melody ndio maana unaweza ukasikia wimbo ukajikuta unatikisa kichwa tu pasipo hata kujua maana yake, hao hao wakina Davido n Wiz kid nyimbo zao nyingi tu wamejaza kiYORUBA na ki IGBO na bado tunawasikiliza refer UJUELEGBA by wizkidayo
Yes that's point
 
Mkuu acha masikhara aisee, diamond ameshakuwa nominated kwenye tuzo za BET hivyo anafahamika vizuri mno, Rayvanny ameshakuwa hadi tuzo huko BET WTF useme hawajulikani?? Acha chuki

Tanzania kuna msanii anaitwa Kimbunga huyu unaweza kuwauliza watanzania million 20 na wakwambie hawamjui ila ukiwauliza watu waliyoko kwenye industry ya muziki wanamfahamu
Kuna watu hawajui chochote kuhusu mziki
 
Waliimba kwa kifaransa mataifa kibao africa yana zungumza kifaransa, Diamond mjanja sana aisee ana ngoma yake inaitwa wakawaka imekuwa banned hapa bongo ila inachezwa U.S jamaa kajitahidi kulenga japo kiswahili kinatuangusha sana.
Hiki ndiyo kifaransa eeeeh!!??!
By Koffie olomide
biso nyoso tokelela mopao a eeeee.....!!!!
biso nyoso tokelela mopao a eee.... na mobengeli
 
Umeleta mada nzuri na mjadala mzito lakini dhana yako inapingana na jinsi wimbo wa MALAIKA wa Miriam Makeba raia wa SA alioimba kwa kiswahili na kuwa maarufu sana duniani kote kwa miongo zaidi ya 3.
 
Mkuu wimbo wa malaika wa kiswahili ulipendwa na kuigwa na wanamuziki wakubwa sana duniani mfano Born M, na wengine wengi.

Tafadhari search google taarifa za huu wimbo. Huenda wewe ni kijana mdogo sana haujui kuhusu hili jambo.

Kitu cha msingi ni kuimba wimbo mzuri na ujumbe mzuri na ndicho kilicho ubeba wimbo wa Malaika.
 
najaribu kuwaza ue wimbo wa nyegezi auweke kwa kiingereza aisee itaibuka lugha mpya
 
Despacito ilipendwa sana na asilimia kinwa ya watu hawajui nini kimesemwa
 
Naam
Mkuu wimbo wa malaika wa kiswahili ulipendwa na kuigwa na wanamuziki wakubwa sana duniani mfano Born M, na wengine wengi.

Tafadhari search google taarifa za huu wimbo. Huenda wewe ni kijana mdogo sana haujui kuhusu hili jambo.

Kitu cha msingi ni kuimba wimbo mzuri na ujumbe mzuri na ndicho kilicho ubeba wimbo wa Malaika.


Sent using Nokia 6
 
Bro kile Ni kifaransa, Ndio Maana Diamond Kaamua Kutafuta Collabo Na Wafaransa Kwasababu Kifaransa Huwezi Fananisha na Kiswahili
Sio kila wimbo ni Kifaransa

Sent using my Nokia Torch
 
Kumekuwa ana Mjadara Mkubwa Tanzania,Katika Maendeleo Ya kimziki Kwa Diamond Platnumz Na Wasanii wengine! Watu wanajaribu kufananisha maendeleo ya kimziki ya Diamond Platnumz na Davido,Wizkid na wengine kwa Miaka 5 nyuma Kuwa Walikuwa wanafukuzana! Ni kweli kabisaa Walikuwa Sawa lakini nini kimetokea?

Binafsi Naamini Kaabisa Kuwa LUGHA YETU YA KISWAHILI imechangia kwa Asilimia 99% kutengeneza Gap kati ya Diamond Na Wasanii Wa njee Kama Davido Na Wizkid! Nipinge uwezavyo lakini kwangu Mimi Kama Danya Naamini Kiswahilii ndio sababu kubwa

Kwasababu naamini ili mziki wako Upendwe ni lazima kile unacho imba kieleweke katika Jamii na Dunia Kwa ujumla ya wale Unao waambia! Wimbo Wako unaweza Kuwa na Maana Nzuri kabisa lakini Kama Haueleweki kwa watu kupendwa Itakuwa ngumu! Lugh ni kitu cha Msingi sana! Watanzania Tunapenda Nyimbo za Nje kwasababu Baadhi yetu Tunaelewa Kingereza Tunaelewa Lugh inayo imbwa Kwasababu Ni lugha Ya Kufundisha Katika Vyuo vyetu na Shule zetu! Lakini Kiswahili Je? Huwezi kuona Nigeria,Marekani na Mataifa Mengine wanajifunza Kiswahili! Na wasanii wakubwa Wote Duniani Wanataka Kujua Kile kinachoimbwa Kina maana Gani? Nyimbo zetu Nyingi Zimetapakaa AFRIKA MASHARIKI kwasababu Ya Kiswahili lakini huwezi Kusikia Nyimbo zetu zikipigwa Kwa wingi South Afrika, Na mataifa Ya Ulaya Kwasabau ya Lugha

Sio Kwamba Diamond hana Kipaji hapana au uwezo wake ni mdogo hapana Lakini Lugha ndio sababu kubwa inayo mtesa! Ndio maana Huwezi Kumuona Davido Au Wizkid nyimbo zao Zote wanaimba kwa lugha hao hapana Wanaimba Kwa Kingereza na Ndio sababu kubwa zinasambaa na kupendwa Duniani kwasababu zinaeleweka! Hata kwenye Show Ni rahisi Msanii Kuimba na Mashabiki zake kwasababu wanaelewa kile kinacho imbwa lakini Sio Diamond Show Za nje kuimba Na Mashabiki zake kwasababu wengi hawaelewi lugha

Naamini Kabisa Mziki wa Tanzania Na Afrika Mashariki Kwa ujumla Bado Una safari ndefu sana Kwasababu Ya lugha Ya Kiswahili! Ni either Waache Kabisa Kuimba Kiswahili waimbe Kwa kingereza Au wasubiri kiswahili kienee Duniani Kote ndio mziki wetu Utafika Mbali! Hata Ikitokea Diamond Akaimba kwa kingereza basi Matamshi yake Hatakiwa vizuri kwasbabu sio Lugha anayo ituma mara kwa mara! Ndio maana Diamond anatumia Gharama Kubwa sana Kufanya Collabo na wasanii wa nje ya Tanzania Ili kufikisha Mziki wetu mbali kwasababu ya Lugha ya kiswahilii! Ukweli ni kwamba Kwa msanii Yeyote yule wa Tanzania ili mziki wako Ufike nje Ya afrika Mashariki Unahitaji Kufanya Collabo za Kimataifa nyingi kadri uwezavyo..... Kinacho mfanya Alikiba Asiwe Wa kimatafita ni kwasababu Ya ufinyu wa Kolabo za Kimataifa hivyo watu inakuwa ngumu Kuelewa Kishwahili/Lugha Inayo Imbwa

LUGHA YA KISWAHILI NI JANGA KWA MUZIKI WETU

Ni mtazamo Tuu

Bora umesema ni mtizamo

hauko sahihi

ukubwa wa mwanamuziki ni base ya washabiki wanaoweza kununua, kuingia kwenye matamasha na kununua bidhaa zake

Diamon hata ajue kiingereza kama Trump hawezi tamba calfornia kama ambavyo anaweza kutamba Tandale

Diamond with kiswahili anaweza tamba uganda, kenya, burundi, rwanda, congo, shelisheli, sudani ya kusini na hata zambia!

ujuaji wa kiswahili ndio unaomfanya chamelion a uganda kuwika east africa

uwe mjapan, mchina, mrusi, mhindi very fluent in english hauwezi penya soko la muziki la kidunia kwa sababu ya kujua kiingereza, its all about creativity any music hauna specific language

Mkuu, hivi despacito. makarena, ni english?
 
Back
Top Bottom