Kama ni ndio mambo yapo namna hiyo basi si itakuwa changamoto kubwa kwa wale ambao hawa husiki na usaili wa TRA kusubiria muda mrefu kwa jambo lisilo wahusu, au ilikuwa na ulazima gani wao kuajiri wenyewe kama utaratibu ni mpaka wao wamalize shuhuli zao then ndipo taasisi nyingine ziendelee na shuhuli za kuajiri watu ili kupisha msongamano usio kuwa wa ulazima..[emoji847]Habari wana JF!
Kama mnakumbuka mwezi July 2023 utumishi walitoa nafasi za ajira kwa kada mbalimbali zikiwemo za uhasibu na manunuzi kwa MDAs na LGAs. Mwezi huu tarehe 4 kuna kada waliitwa interview isipokua uhasibu na manunuzi, na sababu inasemekana wanasubiri TRA wamalize mchakato ili candidates wasije pata ajira utumishi na TRA kwa wakati mmoja.
Hivyo utumishi wanasubiri mpaka TRA wamalize mchakato ndipo waite watu kwa ajili ya written interview. Kwa hyo TRA kuchelewa ni athari kubwa mno kwa michakato mingine.
Nawasilisha.
MDAs- Ministries and Independent Departments Authorities.
Hahahaa bro ni vizuri sana kama ungeiweka sawa coz kuna mtu alitaka kujua. Ila hicho nlichokiandika ndo sahihi kasome Public Procurement utaikuta.Hapa umeenda chaka, ebu rudi chimbo tena....
Sasa ndugu yangu kila siku taasisi zinaboresha. Hata kwa ufahamu wako tuu huoni kwamba mtu mmoja kuchaguliwa posts zaidi ya moja tena zote serikalini ni lack of seriousness na pia ni matumizi mabaya ya fedha za umma kuendesha usahili hovyo hovyo kiasi hicho. Na Rais aliwahi kusema mifumo ya serikali isomane, kusomana maana yake ndo kama hiiWewe umetolea wapi hizi habari?
Kwani mbona watu huwa wanafanya interview mbili hadi tatu at once hapo utumishi, kisha mtu anapata post mbili na zaidi?
Labda lina maana zaidi ya mojaHahahaa bro ni vizuri sana kama ungeiweka sawa coz kuna mtu alitaka kujua. Ila hicho nlichokiandika ndo sahihi kasome Public Procurement utaikuta.
Nimeangalia andiko hili ila ninachokiona tatizo siyo kuwa ajira imetoka wapi au nani angeajiri. Shida ninayoiona ni walioomba nafasi tra ni wengi sana. Hivo inaonyesha kabisa mchujo ndiyo unaendelea fanyika maana nafasi zilizotoka na walioomba ni tofauti kubwa waombaji ni wengi. Tusiwalaumu sana watoza kodi hofu wakitoa haraka inaweza sababisha kuchukua wasio na sifa. Mimi kuomba tu niliona shida nikaamua niendelee na vibiashara vyangu maana si kwa nyomi lile.Labda tuwaombe ndugu zeetu tra wajitahidi ili kuepuka shutumaHabari wana JF!
Kama mnakumbuka mwezi July 2023 utumishi walitoa nafasi za ajira kwa kada mbalimbali zikiwemo za uhasibu na manunuzi kwa MDAs na LGAs. Mwezi huu tarehe 4 kuna kada waliitwa interview isipokua uhasibu na manunuzi, na sababu inasemekana wanasubiri TRA wamalize mchakato ili candidates wasije pata ajira utumishi na TRA kwa wakati mmoja.
Hivyo utumishi wanasubiri mpaka TRA wamalize mchakato ndipo waite watu kwa ajili ya written interview. Kwa hyo TRA kuchelewa ni athari kubwa mno kwa michakato mingine.
Nawasilisha.
naona tangazo limetokaHabari wana JF!
Kama mnakumbuka mwezi July 2023 utumishi walitoa nafasi za ajira kwa kada mbalimbali zikiwemo za uhasibu na manunuzi kwa MDAs na LGAs. Mwezi huu tarehe 4 kuna kada waliitwa interview isipokua uhasibu na manunuzi, na sababu inasemekana wanasubiri TRA wamalize mchakato ili candidates wasije pata ajira utumishi na TRA kwa wakati mmoja.
Hivyo utumishi wanasubiri mpaka TRA wamalize mchakato ndipo waite watu kwa ajili ya written interview. Kwa hyo TRA kuchelewa ni athari kubwa mno kwa michakato mingine.
Nawasilisha.