Jinsi kukosekana kwa ajira kunavyoharibu akili za Wahitimu

Jinsi kukosekana kwa ajira kunavyoharibu akili za Wahitimu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Umetumia kama milioni 10 hivi ukiwa chuoni ukitegemea ipo siku utaajiriwa ila hadi sas hakuna dalili.

Mbaya zaidi wale waliofurahia mikopo ya takribani milioni 12 hadi wamalize elimu zao kwa sasa wana madeni mazito maana kuna penati ya asilimia 10 na tozo ya asilimia 6 kila mwaka.

Mttani umekuwa mtu wa kuonyeshewa vidole vya mfano hai wa kundi la watu waliomaliza vyuo ila mitaa inawachakaza, inauma sana.

Wenzako uliosoma na pengine wengi ambao ulikuwa nao karibu tayari wana ajira u biashara nzuri tu, kiukweli utaumia tu hasa pale unapowaona kwenye status fulani kapandishwa cheo, fulani anapnua biashara, fulani kaongeza gari, n.k jamani inauma.

unatamani sana kununua hata maji utulize kiu ila inakubidi ujikaze tu ufike kwako, unajipa moyo kamba wacha nitembee nifaye zoezi kumbe wala, huna nauli, inauma sana.

Unawashauri wadogo zako mtaani kozi za kusoma chuo, mwusho wa siku wanakwambia mbona wewe hujaajiriwa, jamani inaumaaa.
 
Tatizo kuajiriwa mnachukulia maana yake ni kuajiriwa serikalini au mashirika ya umma.
 
Nani sasa wa kulaumiwa? Serikali, wazazi/walezi , nyinyi wahitimu, au haya makundi yote matatu niliyo yataja?
 
Wasomi ambao wanaweza kuleta falsafa za kukuza uchumi hawaheshimiwi hii nchi.

Nchi imelidhika na hako ka tilioni moja ambako ndo mapato kwa mwaka.
 
Anyways kwa trend niinayo sasa Tz ya 2025 haitakuwa sawa na Tz ya 2035 kwasababu taratibu upumbavu na ujinga wetu unafutika.
 
Mkuu sera mbovu za uchumi za chama twawala zikichagizwa na viongozi aina ya mwendazake ndo zimetufikisha kwenye uchumi na maendeleo mfu ambayo yanaathiri mfumo mzima wa elimu na ajira kwa vijana huku vikipelekea kusinyaa kwa mzunguko wa pesa na kukua kwa sekta binafsi..
 
Wacha waisome namba eeeeeh ,waisome namba.

Ccm mbele kwa mbeleeeeee...
 
Usipende kulaumu ...change your mind set utaona fursa nyingi za kupata kipato na hatimaye kufanikiwa kimaisha.
Hata hiyo ajira hutaiwaza
 
Mkuu sera mbovu za uchumi za chama twawala zikichagizwa na viongozi aina ya mwendazake ndo zimetufikisha kwenye uchumi na maendeleo mfu ambayo yanaathiri mfumo mzima wa elimu na ajira kwa vijana huku vikipelekea kusinyaa kwa mzunguko wa pesa na kukua kwa sekta binafsi..
Asilaumiwe mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee kuna watu bila kazi kupata mtaji ni kazi sana mambo sio rahisi sana kama nyinyi mliobahitika kupata nafasi ya kukuta pesa na kupata watu wenye mwanga wa maisha.(connection).

Hasara ya kwanza kabla ya kupata ajira ni kua na wazazi ambao they were losers halafu umemalza chuo lazima ushauri wao niwakuambie omba kazi, elimu ndio kila kitu kwako ukindshdwa fanya kubeba zege, ufundi magari, ufundi nyumba hata kama wana mtaji hawawezi kukupa kirahisi na kukuonyesha mwanga.

Wazazi wengi kabla ya serikali kukosa macho wazazi pia hawana macho haswa wale waliozaliwa kipindi cha nyerere wanaamini sana katika kusoma.

Mfano kuna wazazi wapo tayari kukunyima mtaji uanze biashara ila wapo tayari kutoa pesa ukasome MASTERS kwa zaidi ya pesa ya mtaji.

Poor tz poor peolpe .

Kuna wazazi wapo tayari kutupa pesa mtu asome hlf akikosa ajila anaona bora asomeshe zaidi, au ahonge million 2 mtoto apate kazi na ikiliwa wala hawazi badala atoe ili ndugu, mtoto afanikishe upande wa pili kupitia biashara na kumuongeza mtaji kama anavyolipa ada kwa miaka hata miwili amuache kijana aendelee ila hafikilii hivyo.

Pooor tz poor people.
 
kuajiriwa ni woga wa maisha,fursa zipo nyingi tatizo mtaji....
 
Back
Top Bottom