Kenya 2022 Jinsi laana ya kuunga mkono Udikteta wa Magufuli ilivyomwangusha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Kwa wanaokufahamu hapa jukwaani hakuna atakayeshangaa wewe kuandika huu upumbavu wako, tunajua kabisa una chuki dhidi ya ccm na mwendazake.
Nyie c ndio mnasema chadema ni mpango wa mungu sasa mbona kila uchaguzi ni maumivu tuu, mwambieni mungu wenu aingilie kati kama huko Kenya.
Wanachadema mna wadudu waharibifu kichwani
 
Ww ni mpumbavu kama wapumbavu wengine huko chadema, kwani vipindi vingine hivyo Odinga alivokosa urais Magufuli alikuwepo.?
 
RUTO ni kiongozi kutoka chama kilichopo madarakani, Raila Odinga ni mgombea kutoka chama pinzani.

Mashangilio yako ni kama kushangilia CCM ikishinda uchaguzi hapa Tanzania

..Na Raisi uhuru kenyatta aliyekuwa akimpinga makamu wake yuko chama cha upinzani?
 
Tatzo la chadema mna fanya vizuri ndani ya anga za tz lakini siasa za inje ambazo hufanya upinzani ukawa solid hamnaa,mna kurupuka sana kutolea maamuzi katika siasa za inje ambazo mnge pata platform yenye maana ,mnapenda kukurupuka mnoo,malema ana nguvu katika vugu vugu na hii ni moja ya sababu ana jua siasa za inje zinazo mpaa credit mpinzani,ukiwa mpinzani hutakiwi kukurupuka mwanzo una tizama je hili swala kisheria lipoje!!!je ki utuu, lakini pia kisiasa ebu jaribuni kua makini,mna mifumo ya ku kopy na kupest,swala la raila limekaa ovyoo sana ki siasa za wataka haki,mtadharaulika miaka nenda kwa kukurupuka mpe salamu yerick,na kumbusho ,
 
Kinachokuumiza ni nini ?
 
Hatimaye kwa mara ya kwanza Pinga Pinga Kiranga kaamini Mungu yupo.

YESU NDIYE BWANA NA MWOKOZI KWA KILA KIUMBE HAI DUNIANI [emoji123]
Wewe hujui kusoma kwa ufahamu.

Mimi naweza kuja kwako nikaiba kitu, ukaniuliza nani kaiba, nikasema James Bond 007 kaiba.

Kwa kumsingizia.

Hata kama James Bond 007 hayupo kiuhalisia, ni character wa kutengenezwa kwenye thamthiliya tu.

Hakuna popote nilipoamini Mungu yupo.

Wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…