[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi form six. Halafu nini kikakupata! ukakoswakoswaje kuvaa gauni la ki frater.
Nahisi hao wazee ni wahayakijijini kwetu kuna wazee wanazungumza kilatini ingawaje awajasoma kabisa elimu dunia
Huijui kaka. Kwa nini unajaribu ?Actus reus non facit raum nisi mens siti rea
Acha kupotoshaKabisa ndugu yangu... tena bila wasiwasi, mweusi tii
Siuseme mauaOrare et Laborare hii ilikua motto ya sehemu flani niliyokuwepo enzi hizo....
siku hizi kumwambia mtu *unamfuatilia* ni kumfanya afute akaunti ya jf, google, postal address na nida na tin. atupe sim na pc na line. ! bas sema walau unafuatilia posts zangu tu! majesuit hamnaga rangi nyie😁Mkuu nakufatilia 😁🤣🙏 ila inaonekana ulihujumiwa Sana seminarini mpaka kukoseshwa wito. Ila sahivi Kama huna Imani kabisa.
Agnus dei...
kama si uwepo wa neno *SHIKAMOO*, waarab walituletea lugha nzuri na rahis kujifunza. wapenz wa kuelewa kuliko kukariri tunasubiri kwa hamu harakat za kiswahili kuwa katika mitaala ya masomo yote! hofu yangu ni tutalazimika kuazima maneno mengi kias gani kutoka lugha za wabunifu wa nje. nahis lugha yetu iko kwa matumizi ya kidiplomasia bado., bora tuboreshe tu kiingereza kuanzia chekechea,Pole kwa Msiba wa Lugha Latino!!
Bora kiarabu chetu tukilinde na kukitunza ili kiswahili kiweze Survivu!!
Bado lugha ya kiarabu tunakienzi....
Kwa heshima na taadhima tashrifa Karibu !!
.kama si uwepo wa neno *SHIKAMOO*, waarab walituletea lugha nzuri na rahis kujifunza. wapenz wa kuelewa kuliko kukariri tunasubiri kwa hamu harakat za kiswahili kuwa katika mitaala ya masomo yote! hofu yangu ni tutalazimika kuazima maneno mengi kias gani kutoka lugha za wabunifu wa nje. nahis lugha yetu iko kwa matumizi ya kidiplomasia bado., bora tuboreshe tu kiingereza kuanzia chekechea,
Hiyo ilikuwa kabla ya Mtaguso wa Pili wa VaticanMisa za zamani za katoliki ziligongwa kilatini
Mkuu usinitibue,kukashifu Ibada kwa Sakramenti kuu,hiyo ni kufuru isiyovumilikaBenediction! zoez ni simply ushirikina wa kiyahudi. sijui kitu gani kilitupata tukauacha ushirikina wetu! lakin bora huu mpya hakuna kufitiniana, kuchonganishana na kafara za binadam mwenzako kutolewa roho/dam. niliogopa sana kujua hadi leo tz yetu kuna kabila akifa mfalme wa koo anazikwa amesimama na nyongeza ya mtoto akiwa hai.
naomba unisamehe kama nimekukwaza kiimani. najua fika imani za kimapokeo zina nguvu sana (extremism). nitaendelea kujielewesha tena na tena kuwa iman (faith) na rationality do not necessarily go concurrent! nimepitiwa ndugu! (samahan kwa udhaifu wa lugha pia. kuna wakati kiswahili kinakosa neno kusudiwa hasa kwa haraka).Mkuu usinitibue,kukashifu Ibada kwa Sakramenti kuu,hiyo ni kufuru isiyovumilika
Sawa mkuu,Japo umenichanganyia lugha.naomba unisamehe kama nimekukwaza kiimani. najua fika imani za kimapokeo zina nguvu sana (extremism). nitaendelea kujielewesha tena na tena kuwa iman (faith) na rationality do not necessarily go concurrent! nimepitiwa ndugu! (samahan kwa udhaifu wa lugha pia. kuna wakati kiswahili kinakosa neno kusudiwa hasa kwa haraka).
“Apologizing does not always mean you're wrong and the other person is right. It just means you value your relationship more than your ego.”
― Mark Matthews
Evilspirit at workIn Perpetuum et Unum Diem
Milele na sikuIn Perpetuum et Unum Diem
Ndio tafsiri au?Milele na siku