Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio ufisadi uliotokomezwa,swali Kwa wanaumoja party ⛷️View attachment 2192967Hii nchi Tamu sana inapigwa Left and Right , Top and Bottom
Mbona mnakuwa wavivu kufikiria, nani alikuambia wizi uliisha???? Mbona sasa hivi mnataka mpandishiwe bei ya umeme kiwizi wizi. Dkt Magufuli alishughulikia mifumo mmoja mmoja, leo hii madini tuna faidiHuo ndio ufisadi uliotokomezwa,swali Kwa wanaumoja party ⛷️
Kwenye ya mpigania haki za "wanyonge". Aliyejifanya mkali kama pilipili kumbe ukali wa kuvuta upigaji. Magufuli afe x100000000000000View attachment 2192967Hii nchi Tamu sana inapigwa Left and Right , Top and Bottom
Msimlaumu jiweKwenye ya mpigania haki za "wanyonge". Aliyejifanya mkali kama pilipili kumbe ukali wa kuvuta upigaji. Magufuli afe x100000000000000
Tunafaidi kivipi wakat juzi Ruby yenye thaman kubwa sana kutoka Tz ilikuwa inapigwa mnada uarabuni?Mbona mnakuwa wavivu kufikiria, nani alikuambia wizi uliisha???? Mbona sasa hivi mnataka mpandishiwe bei ya umeme kiwizi wizi. Dkt Magufuli alishughulikia mifumo mmoja mmoja, leo hii madini tuna faidi
Ndivyo mlivyotaka kutudanganya,mmewadanganya na wenzangu na mie benderafata upepo,mpaka kesho watakuambua malaika alitenda🤔Mbona mnakuwa wavivu kufikiria, nani alikuambia wizi uliisha???? Mbona sasa hivi mnataka mpandishiwe bei ya umeme kiwizi wizi. Dkt Magufuli alishughulikia mifumo mmoja mmoja, leo hii madini tuna faidi
Kipindi cha kusafisha mafisadi na rushwa wana walikuwa wanajilia kiulaaani kabisa
Watu walikuwa wanatafuna kimya kimya na bila keleleNa ni enzi za jiwe
Wenyewe wanaitakula na kipofu bila kumkamata mkono😜Watu walikuwa wanatafuna kimya kimya na bila kelele
Wapo Hadi waliojifananisha na malaika ila kwenye upigaji imoooTunakumbushana tu. Mtanzania ni mtanzania tu. Uaminifu ni 0
😂😂Wapo Hadi waliojifananisha na malaika ila kwenye upigaji imooo
DNA test,upigaji positive 🤸😂😂
Upigaji upo kwenye DNA.
Na vitisho vingiiii🏃Enzi ya nidhamu ya uoga
Nidhamu inabidi itokane na dhamira ya mtu kuwajibika na kutambua wajibu wake na si kutishwa tishwa.Na vitisho vingiiii🏃
Yaani sisi kwetu upigaji hauchagui dini wala rangi wala kabila wala elimu wala umri wala jinsia wala eneo wala undugu wala chochote. Yaani sisi uaminifu ni 0. Usione watu wanajitetea ni basi tu hawajapata nafasi. Ila wakipata nafasi ya kupiga lazima wapige. Kwani Nasema uongo ndugu zang?D
DNA test,upigaji positive 🤸
Hivi umesoma wizi wa madini ya Tanzanite mirerani ? Pamoja na kuweka ule ukuta mkuubwaa?Mbona mnakuwa wavivu kufikiria, nani alikuambia wizi uliisha???? Mbona sasa hivi mnataka mpandishiwe bei ya umeme kiwizi wizi. Dkt Magufuli alishughulikia mifumo mmoja mmoja, leo hii madini tuna faidi