Jinsi Maafisa Uhamiaji walivyopiga Tsh Bilioni 2.42

Jinsi Maafisa Uhamiaji walivyopiga Tsh Bilioni 2.42

Yaani sisi kwetu upigaji hauchagui dini wala rangi wala kabila wala elimu wala umri wala jinsia wala eneo wala undugu wala chochote. Yaani sisi uaminifu ni 0. Usione watu wanajitetea ni basi tu hawajapata nafasi. Ila wakipata nafasi ya kupiga lazima wapige. Kwani Nasema uongo ndugu zang?
Yaweza kuwa unasema uongo🤔
 
Hii nchi ya hovyo na ina watu wa hovyo sana,na viongozi wa ccm nao wameshajua sisi ni wa hovyo kwa hiyo wanacheza na akili zetu!!! Magufuli alimponda kikwete kuhusu utawala wake ili aonekane ndiye rais bora,watu wa hovyo wakashangilia sasa ni zamu ya mama naye anapita mule mule ili kuteka akili za watu wa hovyo.mpaka tuje tushtuke kuwa ccm yote ni majizi tutakuwa tumechelewa sana.KATIBA MPYA YA WANANCHI
 
Back
Top Bottom