Jinsi maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 yatakavyozimwa kirahisi

Jinsi maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 yatakavyozimwa kirahisi

Mtamba wa Panya

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
764
Reaction score
1,892
Zingatia matukio matatu yafuatayo:

1) Tarehe 21/9/2024 (Jumamosi)
Muda: 08:30 pm
Tukio: Young Africans (TZ) vs CBE (Ethiopia)
Competition: 2024-25 CAF Champions League

2) Tarehe 22/9/2024 (Jumapili)
Muda: 04:00 pm
Tukio: Simba SC (TZ) vs Al Ahli Tripoli (Libya)
Competition: 2024-25 CAF Confederation Cup

3) Tarehe 23/9/2024 (Jumatatu)
Tukio: Maandamano ya CHADEMA

Haihitaji PhD au Masters kujua yafuatayo yatatokea:

a) Kwenye tukio namba 1 hapo juu, Yanga atashinda goli kadhaa na atapita, mama atatoa Tsh 5,000,000/= kila goli na Wananchi watakabidhiwa mzigo wao mbele ya Waandishi wa Habari, Watu watazungumzia pesa za mama.

b) Kwenye tukio namba 2 hapo juu, Tajiri wa Simba SC pamoja na viongozi wakubwa kadhaa wa Serikali watakuwepo jukwaani (Possibly mama pia) kuisapoti Simba mechi ikionekana Live Tanzania nzima. Simba SC atashinda mechi na baada ya mechi Mama/kiongozi mkubwa atakabidhi kitita cha goli za Simba SC (Tsh 5,000,000 kila goli). Mfadhili na kiongozi watazungumza kuhusu kupinga maandamano na kusisitiza amani nchini.

c) Tarehe 23/9/2024 (siku ya maandamano) watanzania watakuwa wanazungumzia/wanabishana kuhusu timu ipi imechukua pesa nyingi zaidi za Mama.

Mwisho wa siku HAKUNA MAANDAMANO..

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea


Bila shaka waliopanga maandamano ya CHADEMA ni walikosa kutumia akili nyingi maana hawakuliona hili. Yaani kwa kifupi hawaijui vizuri Intelligensia ya nchi hii.

Moto wa maandamano ulitakiwa uwe siku hizi hizi kabla ya Ijumaa, pengine hapo probability ya kufanikiwa ingekuwa juu.

Kweli akili ni nywele, kila mtu ana za kwake..
 
Zingatia matukio matatu yafuatayo:

1) Tarehe 21/9/2024 (Jumamosi)
Muda: 08:30 pm
Tukio: Young Africans (TZ) vs CBE (Ethiopia)
Competition: 2024-25 CAF Champions League

2) Tarehe 22/9/2024 (Jumapili)
Muda: 04:00 pm
Tukio: Simba SC (TZ) vs Al Ahli Tripoli (Libya)
Competition: 2024-25 CAF Confederation Cup

3) Tarehe 23/9/2024 (Jumatatu)
Tukio: Maandamano ya CHADEMA

Haihitaji PhD au Masters kujua yafuatayo yatatokea:

a) Kwenye tukio namba 1 hapo juu, Yanga atashinda goli kadhaa na atapita, mama atatoa Tsh 5,000,000/= kila goli na Wananchi watakabidhiwa mzigo wao mbele ya Waandishi wa Habari, Watu watazungumzia pesa za mama.

b) Kwenye tukio namba 2 hapo juu, Tajiri wa Simba SC pamoja na viongozi wakubwa kadhaa wa Serikali watakuwepo jukwaani (Possibly mama pia) kuisapoti Simba mechi ikionekana Live Tanzania nzima. Simba SC atashinda mechi na baada ya mechi Mama/kiongozi mkubwa atakabidhi kitita cha goli za Simba SC (Tsh 5,000,000 kila goli). Mfadhili na kiongozi watazungumza kuhusu kupinga maandamano na kusisitiza amani nchini.

c) Tarehe 23/9/2024 (siku ya maandamano) watanzania watakuwa wanazungumzia/wanabishana kuhusu timu ipi imechukua pesa nyingi zaidi za Mama.

Mwisho wa siku HAKUNA MAANDAMANO..

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea


Bila shaka waliopanga maandamano ya CHADEMA ni walikosa kutumia akili nyingi maana hawakuliona hili. Yaani kwa kifupi hawaijui vizuri Intelligensia ya nchi hii.

Moto wa maandamano ulitakiwa uwe siku hizi hizi kabla ya Ijumaa, pengine hapo probability ya kufanikiwa ingekuwa juu.

Kweli akili ni nywele, kila mtu ana za kwake..
Maandamano yameshazimwa siku nyingi. Unafikiri yatakuwepo?

Thubutu.
 
Mechi za Simba,yanga,mishahara ya watumishi, matukio matatu yanayoweza ku neutralize Sana maandamano ya chadema kwa tarehe hizo
 
Zingatia matukio matatu yafuatayo:

1) Tarehe 21/9/2024 (Jumamosi)
Muda: 08:30 pm
Tukio: Young Africans (TZ) vs CBE (Ethiopia)
Competition: 2024-25 CAF Champions League

2) Tarehe 22/9/2024 (Jumapili)
Muda: 04:00 pm
Tukio: Simba SC (TZ) vs Al Ahli Tripoli (Libya)
Competition: 2024-25 CAF Confederation Cup

3) Tarehe 23/9/2024 (Jumatatu)
Tukio: Maandamano ya CHADEMA

Haihitaji PhD au Masters kujua yafuatayo yatatokea:

a) Kwenye tukio namba 1 hapo juu, Yanga atashinda goli kadhaa na atapita, mama atatoa Tsh 5,000,000/= kila goli na Wananchi watakabidhiwa mzigo wao mbele ya Waandishi wa Habari, Watu watazungumzia pesa za mama.

b) Kwenye tukio namba 2 hapo juu, Tajiri wa Simba SC pamoja na viongozi wakubwa kadhaa wa Serikali watakuwepo jukwaani (Possibly mama pia) kuisapoti Simba mechi ikionekana Live Tanzania nzima. Simba SC atashinda mechi na baada ya mechi Mama/kiongozi mkubwa atakabidhi kitita cha goli za Simba SC (Tsh 5,000,000 kila goli). Mfadhili na kiongozi watazungumza kuhusu kupinga maandamano na kusisitiza amani nchini.

c) Tarehe 23/9/2024 (siku ya maandamano) watanzania watakuwa wanazungumzia/wanabishana kuhusu timu ipi imechukua pesa nyingi zaidi za Mama.

Mwisho wa siku HAKUNA MAANDAMANO..

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea


Bila shaka waliopanga maandamano ya CHADEMA ni walikosa kutumia akili nyingi maana hawakuliona hili. Yaani kwa kifupi hawaijui vizuri Intelligensia ya nchi hii.

Moto wa maandamano ulitakiwa uwe siku hizi hizi kabla ya Ijumaa, pengine hapo probability ya kufanikiwa ingekuwa juu.

Kweli akili ni nywele, kila mtu ana za kwake..
Nani kakwambia! Kutokana na facts kwamba baadhi ya watu wamepotelewa na ndugu zao ambao hawajaonekana hadi leo, na baadhi yao wamekuta ndugu zao waliopotea wamekufa, ni wazi kwamba hawa na watu wote wanaochukizwa na haya mambo yanayoendelea watakuwa interested kuona maandamano kama yana ujumbe unaowatuliza au la. Kwa hao watu na watu wengine wanajua habari za mechi zipo tu muda wote, lakini siku hiyo naamini watapenda kuona maandamano yanaanzaje na yanaishaje.
 
Mechi za Simba,yanga,mishahara ya watumishi, matukio matatu yanayoweza ku neutralize Sana maandamano ya chadema kwa tarehe hizo
Baada ya Simba kuchezea kichapo Jumatatu watu utakutana nao road wanapiga trip km kawaida
 
RPC na Msime watatoa biti Moja matata na alfajiri na mapema ya sep 23 karandinga zinasambaa mtaani na kwenye ofisi za chadomo.

Ni kisago tu ukijifanya kiherehere
Dunia nzima ipo standby kuchukua matukio na kuyarusha yaonekana ulimwenguni kote, camera zipo standby zimeelekezwa huku ushawahi kunya kisha ukaanza kujipakaa kinyesi chako mwenyewe?
 
FFU wanawasubiri kwa hamu mwingie mitaani.

Na hivi kuna ambao ndiyo kwanza wamemaliza mafunzo, wanahamu kweli wakayafanyie kazi live.
Camera mpaka za Aljezeera zipo standby sasa fanyeni ya kufanya mambo yaende huko, camera zimeshategwa ueni hadharani dunia ione
 
Usisahau kumuombea Ali Mohammed Kibao apunguziwe adhabu ya kaburi.
Muislamu huyo basi muislamu gani kifo cha muislamu mwenzake anakifurahia, ndio maana hawaruhusiwi kwenda kuzika wanaenda kuzika wanaume tu, ushawahi muona mwanamke wa kiislamu anachimba kaburi?
 
Back
Top Bottom