Jinsi maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 yatakavyozimwa kirahisi

Jinsi maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 yatakavyozimwa kirahisi

Wanaopanga na kuonyesha sapoti ya maandamano ni wengine ila wanaotarajiwa kuandamana ni wengine na hilo ndio tatizo, ikiwa kweli hawa hawa mashabiki wa yanga na simba ndio huonyesha kutaka kuandamana iweje tena hizo mechi iwe kikwazo?
 
Wanaopanga na kuonyesha sapoti ya maandamano ni wengine ila wanaotarajiwa kuandamana ni wengine na hilo ndio tatizo, ikiwa kweli hawa hawa mashabiki wa yanga na simba ndio huonyesha kutaka kuandamana iweje tena hizo mechi iwe kikwazo?
Hawako serious
 
RPC na Msime watatoa biti Moja matata na alfajiri na mapema ya sep 23 karandinga zinasambaa mtaani na kwenye ofisi za chadomo.

Ni kisago tu ukijifanya kiherehere
Ninyi watu wa ajabu sana! Watu wakiamua Polisi ni dhaifu haiwezi kuzuia chochote. Mfano mzuri Ngorongoro
 
Hawako serious
Yani kama utatizama muamko wa maandamano kupitia mitandaoni basi utasema kabisa maandamano lazima yafanyike ila kumbe hali haipo hivyo kwa wale walengwa wenyewe wa kufanya hayo maandamano huko mtaani, hapo ndipo zinakuja hoja uoga mara sijui watanzania wanapumbazwa na simba na yanga.
 
Back
Top Bottom