Jinsi madevu mabaya yanavyomkosesha Messi tuzo ya mchezaji bora

Thread ya kipumbavu hiii yaani kweli kuuza sura kwenye tuzo ww alili yako ya soka finyu wala sio big brother kule ww kija a[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Thread ya kipumbavu hiii yaani kweli kuuza sura kwenye tuzo ww alili yako ya soka finyu wala sio big brother kule ww kija a[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
Ronaldo mchezaji bora 2017
 
Wachezaji wengi walianza kufuga ndevu baada ya viwango vyao kuanza kuporomoka kama vile Thienry Henry,Nicholaus Anelka,David Bekham n.k

Hivyo kuna athari fulani kimtazamo
Ngoja niifanyie kazi hii
 
Ngoja niifanyie kazi hii
Hata usifanyie kazi

Magoli mengi 2017 anaongoza messi 50 goals wa pili cavabi 45

Assist anaongoza messi
Kutengeneza nafasi anaongoza messi

Dribble anaongoza messi akifuatia neymar wa tatu kaachwa gap kubwa saaaaana

Kwa takwimu hizi wacha aendelee kufuga



 
Je Madevu mabaya hayachangii kukosa tuzo ?
 
Wachezaji wengi walianza kufuga ndevu baada ya viwango vyao kuanza kuporomoka kama vile Thienry Henry,Nicholaus Anelka,David Bekham n.k

Hivyo kuna athari fulani kimtazamo
Na Rooney...
 
Mtoa Mada you have two parts of Brain....Left and Right....in the Left there is Nothing right and on the right there is nothing left!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ dah nimecheka sanaa aiseee
 
Magoli mengi na hizo assist na dribbles akavuna ndevu...!!
 
Subirini from now Ballon zitakavyotiririka kwa mwenye kuujua mpira/Leo Messi...this season wameamua tu kumpa/kumsaidia ili asipate aibu.
 
Tangu Lionel Messi aanze kufuga midevu isiyo na mpangilio , mithili ya mpiga gitar wa Rock N Roll ni kama ametengwa na wapenzi wa soka , hana mvuto tena hata kama anaisaidia Barcelona au Argentina .[/QUOTE]


Mkuu erythrocyte muombe radhi mfalme huyu. Unabeba dhambi aise
 
Mkuu unajua hizi tuzo wanaangalia mafanikio binafsi na ya timu nzima.mostly wanaangalia mtu binafsi alivyo leta mafanikio kwa timu...messi wangempa tuzo kwa kuchukua kombe gani kubwa??
Ronaldo alibebe uefa pia la liga anastahili,tuache ushabiki bhana.
 

Sawa Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…