Jinsi madevu mabaya yanavyomkosesha Messi tuzo ya mchezaji bora

Jinsi madevu mabaya yanavyomkosesha Messi tuzo ya mchezaji bora

Huyo Andunje labda apewe ngazi ndo ataweza kuzifikia hizo tuzo zilikohifadhiwa.
 
ebu tuone picha yko ww unayenyoaga ndevu....uckute huna ata vimalaika wala vipele vya ndevu....Kwakawaida alietunga ule msemo wa ni "Tajir kuingia kwny ufalme wa mungu ni sawa na ngamia kupenya kwny tundu la sindano" alikua ni Maskini
Uzuri kama we we mwenyewe unafuga ndevu,jibu unalo juu ya hofu uliyonayo kuhusu udhaifu unaokuandama.Ndio maana watu wenye ndevu huwa na hasira na ubabe sana.Hiyo ni kuficha udhaifu walionao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Ukiona mtu anaanza kufuga midevu mingi huwa kuna mapungufu yanamkabili na hiyo huwa ni njia ya kuficha udhaifu huo.Mf.mtu akipungukiwa na kujiamini utaona anafuga midevu sana,ili awakumbushe watu kuwa yeye ni kidume,ama akipungukiwa na nguvu za kiume lazima afuge midevu kwa kusudi hilo la kujaribu kumshawishi mwanamke kuwa ye ni mwanaume bora kuliko wasio na ndevu.Wanaume wengi wanaona ndevu ni ishara ya ubabe.
Kwenye midevu wanakuja
 
Kiukweli kwa miaka ya karibuni unapozungumzia Tuzo ya mchezaji bora wa dunia , ni kama moja kwa moja unamzungumzia Christiano Ronaldo pekee , Lionel Messi ni kama msindikizaji tu .

Ikumbukwe kwamba washindi wa tuzo hii hupigiwa kura ( niko tayari kusahihishwa ) , hivyo ukiacha umahiri wa kisoka , Muonekano wa mchezaji husika unao mchango mkubwa sana katika kushinda tuzo hii.

Tangu Lionel Messi aanze kufuga midevu isiyo na mpangilio , mithili ya mpiga gitar wa Rock N Roll ni kama ametengwa na wapenzi wa soka , hana mvuto tena hata kama anaisaidia Barcelona au Argentina .

Unamatatizo kichwani au unachuki na watu wenye ndevu zao kinacho angaliwa ni uwezo wake uwanjani na sio muonekano
Elewa kuwa nddvu ni kitambulisho halisi
Cha mwanaume kama hauna sio lazima
kuzitafuta kwa mganga wa kienyeji.
 
237ae7c73f0cc49ecc59c3d0292fcee2.jpg


a7f3b4f7239e34eddc870facc6506026.jpg



a9f0831b76d00a687aa7c365c30004af.jpg
 
Sijaona bado wakumkaribia The King Messi,,,katika wachezaji waliopita na wa sasa pia.

Salute kwako Mchawi wa soka,,,nitapata kuwasimulia wanangu,,,
 
Back
Top Bottom