Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Nimecheka sana !Kama checknoris
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana !Kama checknoris
Nimecheka kwa nguuvu,kahMtoa Mada you have two parts of Brain....Left and Right....in the Left there is Nothing right and on the right there is nothing left!
hahahaaaNimecheka kwa nguuvu,kah
Ninazo sana ila nazinyoa zinabaki kidogoBila shaka Hauna Ndevu!
Uzuri kama we we mwenyewe unafuga ndevu,jibu unalo juu ya hofu uliyonayo kuhusu udhaifu unaokuandama.Ndio maana watu wenye ndevu huwa na hasira na ubabe sana.Hiyo ni kuficha udhaifu walionaoebu tuone picha yko ww unayenyoaga ndevu....uckute huna ata vimalaika wala vipele vya ndevu....Kwakawaida alietunga ule msemo wa ni "Tajir kuingia kwny ufalme wa mungu ni sawa na ngamia kupenya kwny tundu la sindano" alikua ni Maskini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Aisee mbona umemtukana sana mtoa madaMtoa Mada you have two parts of Brain....Left and Right....in the Left there is Nothing right and on the right there is nothing left!
Sio ndevu tu,hata wasiotahiri wanasisitiza mwanaume mkono wa swetaMwanaume unatakiwa kuwa na ndevu bwana
Kama checknoris
Kaleta Mtazamo wakeMtoa Mada you have two parts of Brain....Left and Right....in the Left there is Nothing right and on the right there is nothing left!
Siwezi kupanic kwa wapuuzi kama weweUsipanic basi baba
Kwenye midevu wanakujaUkiona mtu anaanza kufuga midevu mingi huwa kuna mapungufu yanamkabili na hiyo huwa ni njia ya kuficha udhaifu huo.Mf.mtu akipungukiwa na kujiamini utaona anafuga midevu sana,ili awakumbushe watu kuwa yeye ni kidume,ama akipungukiwa na nguvu za kiume lazima afuge midevu kwa kusudi hilo la kujaribu kumshawishi mwanamke kuwa ye ni mwanaume bora kuliko wasio na ndevu.Wanaume wengi wanaona ndevu ni ishara ya ubabe.
Kiukweli kwa miaka ya karibuni unapozungumzia Tuzo ya mchezaji bora wa dunia , ni kama moja kwa moja unamzungumzia Christiano Ronaldo pekee , Lionel Messi ni kama msindikizaji tu .
Ikumbukwe kwamba washindi wa tuzo hii hupigiwa kura ( niko tayari kusahihishwa ) , hivyo ukiacha umahiri wa kisoka , Muonekano wa mchezaji husika unao mchango mkubwa sana katika kushinda tuzo hii.
Tangu Lionel Messi aanze kufuga midevu isiyo na mpangilio , mithili ya mpiga gitar wa Rock N Roll ni kama ametengwa na wapenzi wa soka , hana mvuto tena hata kama anaisaidia Barcelona au Argentina .
Acha uzumbukuku za kukashfu imani za watuKawa kama mtu aliyesilimu kuwa mwosilamu na anajiandaa kujilipua muda si mrefu
[emoji116] [emoji116]Kapicha tafadhali ili kunogesha uzi wako
Ha! Ha! Ha!