Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda

Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Kuanzia miaka 14 hadi 18 anachezeana na wanafunzi wenzake huko hajui lolote kuhusu shule yeye ni kuoga na kupunguza skirts zake tu, mrembo wa shule, kichwani bila bila yaani tupu ( utupu ) anadhani alizaliwa vizuri zaidi ya WENGINE. Akitongozwa anaeleweka tu hata na yeyote.

Kuanzia miaka 18 hadi 24
Anataka boyfriend handsome Mwenye pesa, gari, kazi nzuri na mwenye mavazi ya kila aina au maarufu anawakataa wanaume wengi na kuwabeza anajiona yuko kwenye ubora na anaweza kutembea mpaka na mzungu.

Anabadilisha badilisha wanaume NA kuwasaliti wengine, hawana pesa, hawana hadhi ya kuwa naye na haoni aibu kuwatemea mate. Hawezi kutembea na mbeba mizigo ataaibika.

Kuanzia miaka 25 hadi 30
Utasikia nataka mwanaume yeyote atakaye nipenda na kunijali, anajiegesha baa mara mitandaoni kuchukuliwa na yoyote tu ilimradi atapewa kidogo na kulishwa, kunywa bia anatumika na kuachwa asubuhi.
Bahati mbaya hajajitokeza wa kumuoa kwa sababu rika lake wameshaoa wote au wameshamzoea kwa matukio.
Wanajitokeza tu waume za WATU wanatembea naye tu na kumsaidia matumizi kidogo.

Kuanzia miaka 30 hadi 35
Utasikia mwanaume ni mwanaume haridhiki, hakuna mwanaume wa peke yako, ilimradi apatikane tu.
SWALI LA KUJIULIZA JE HAWA WANAWAKE WOTE AMBAO HAWAJAOLEWA (BAADHI YAO, SIO WOTE) JE HAWAJAWAHI KUTONGOZWA ?

JIBU NI HAPANA
HUENDA WAMEKUJA WENGI ALIPOKUWA KWENYE WAKATI SAHIHI LAKINI KWA SABABU YA TAMAA ALIPISHANA NA GARI YA MSHAHARA
Expert Dating Advice
top fans
 
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!!
Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!!
Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba...
Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna.
Kama ni danga una hela basi unipe hela kweli sio vilaki laki maana wewe una hela tu na huna kingine cha kunipa ambacho kitanipa furaha zaidi ya hiyo pesa.
Kama ni mpenzi na tunaringana kipato basi tupeane mapenzi mahaba bila kusahau kupeana pesa maana ndivyo vitu vinanogesha penzi letu.
Na kama ni wapenzi wale tusio na kitu basi tuenjoy penzi letu la kimaskini yaani mwendo wa kubebana, kuogeshana chumba limefungwa lock saa 24 ni mahaba tu yasiyo na usaliti maana maskini kuchit kwake ni msamiati wa kireno.
 
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!!
Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!!
Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba...
Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna.
Kama ni danga una hela basi unipe hela kweli sio vilaki laki maana wewe una hela tu na huna kingine cha kunipa ambacho kitanipa furaha zaidi ya hiyo pesa.
Kama ni mpenzi na tunaringana kipato basi tupeane mapenzi mahaba bila kusahau kupeana pesa maana ndivyo vitu vinanogesha penzi letu.
Na kama ni wapenzi wale tusio na kitu basi tuenjoy penzi letu la kimaskini yaani mwendo wa kubebana, kuogeshana chumba limefungwa lock saa 24 ni mahaba tu yasiyo na usaliti maana maskini kuchit kwake ni msamiati wa kireno.
Msema kweli ni Mpenzi wa MUNGU. Hongera sana dada kwa kuwa muwazi.
Unakuta Dada ana miaka zaidi ya 30 bado anaringa hata Salam kuitikia hataki huyu sijui inakuwaje?
 
Msema kweli ni Mpenzi wa MUNGU. Hongera sana dada kwa kuwa muwazi.
Unakuta Dada ana miaka zaidi ya 30 bado anaringa hata Salam kuitikia hataki huyu sijui inakuwaje?
Asante,, huyo unakuta akili Bado haijapevuka na kujua nini anataka......
Ndio maana wadada wengi wanalalamika kuhusu wanaume huku wenyewe hawajui Nini wanataka japo si wote.
 
To understand another person you must swim in the same waters that drowned them.
  • Look, things will happen to you. Things that you cannot control. -Finch
  • MUHUBIRI 9: 11 Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
  • Wapo wanaokua sahihi wakati wote na bahati isiwe upande wao unalijua hilo??
 
Kuna kundi kubwa la wazee wa 2000 walitusumbua sana hapa miaka ya karibuni wakitaka haki ya kumiliki shirika la mapenzi

Kuingia kwetu 2025 kumewaondolea rasmi haki miliki ya mapenzi na badala yake sasa wamesajiliwa kwenye kundi la wazee.

Hakuna mtu mzima wa 2000 asiye na familia, la sivyo huyo amepitwa na wakati. Watu wa 2000 sasa wanatambua umuhimu wa ada na malipo mengine ya malezi.

Wazee wa 2000 age with grace please
 
Back
Top Bottom