Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda

Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda

Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!!
Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!!
Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba...
Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna.
Kama ni danga una hela basi unipe hela kweli sio vilaki laki maana wewe una hela tu na huna kingine cha kunipa ambacho kitanipa furaha zaidi ya hiyo pesa.
Kama ni mpenzi na tunaringana kipato basi tupeane mapenzi mahaba bila kusahau kupeana pesa maana ndivyo vitu vinanogesha penzi letu.
Na kama ni wapenzi wale tusio na kitu basi tuenjoy penzi letu la kimaskini yaani mwendo wa kubebana, kuogeshana chumba limefungwa lock saa 24 ni mahaba tu yasiyo na usaliti maana maskini kuchit kwake ni msamiati wa kireno.
Na uzuri wenu mmenyooka hamna mambo mengi, cha msingi tu ni kutimiza job description inayonihusu basi.
Mpewe maua yenu.
 
Kuanzia miaka 14 hadi 18 anachezeana na wanafunzi wenzake huko hajui lolote kuhusu shule yeye ni kuoga na kupunguza skirts zake tu, mrembo wa shule, kichwani bila bila yaani tupu ( utupu ) anadhani alizaliwa vizuri zaidi ya WENGINE. Akitongozwa anaeleweka tu hata na yeyote.

Kuanzia miaka 18 hadi 24
Anataka boyfriend handsome Mwenye pesa, gari, kazi nzuri na mwenye mavazi ya kila aina au maarufu anawakataa wanaume wengi na kuwabeza anajiona yuko kwenye ubora na anaweza kutembea mpaka na mzungu.

Anabadilisha badilisha wanaume NA kuwasaliti wengine, hawana pesa, hawana hadhi ya kuwa naye na haoni aibu kuwatemea mate. Hawezi kutembea na mbeba mizigo ataaibika.

Kuanzia miaka 25 hadi 30
Utasikia nataka mwanaume yeyote atakaye nipenda na kunijali, anajiegesha baa mara mitandaoni kuchukuliwa na yoyote tu ilimradi atapewa kidogo na kulishwa, kunywa bia anatumika na kuachwa asubuhi.
Bahati mbaya hajajitokeza wa kumuoa kwa sababu rika lake wameshaoa wote au wameshamzoea kwa matukio.
Wanajitokeza tu waume za WATU wanatembea naye tu na kumsaidia matumizi kidogo.

Kuanzia miaka 30 hadi 35
Utasikia mwanaume ni mwanaume haridhiki, hakuna mwanaume wa peke yako, ilimradi apatikane tu.
SWALI LA KUJIULIZA JE HAWA WANAWAKE WOTE AMBAO HAWAJAOLEWA (BAADHI YAO, SIO WOTE) JE HAWAJAWAHI KUTONGOZWA ?

JIBU NI HAPANA
HUENDA WAMEKUJA WENGI ALIPOKUWA KWENYE WAKATI SAHIHI LAKINI KWA SABABU YA TAMAA ALIPISHANA NA GARI YA MSHAHARA
Expert Dating Advice
top fans
Kwani kutongozwa ndio kuolewa?
 
Mshangazi mnaitwa huku...
Mmeandikiwa gazeti lenu...

NB: Nawakumbusha wadada kuwa ujana kwao ni maji ya moto na yanapoa haraka...
Ujana ni utapeli
Ubinti ni ubatili
 
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!!
Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!!
Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba...
Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna.
Kama ni danga una hela basi unipe hela kweli sio vilaki laki maana wewe una hela tu na huna kingine cha kunipa ambacho kitanipa furaha zaidi ya hiyo pesa.
Kama ni mpenzi na tunaringana kipato basi tupeane mapenzi mahaba bila kusahau kupeana pesa maana ndivyo vitu vinanogesha penzi letu.
Na kama ni wapenzi wale tusio na kitu basi tuenjoy penzi letu la kimaskini yaani mwendo wa kubebana, kuogeshana chumba limefungwa lock saa 24 ni mahaba tu yasiyo na usaliti maana maskini kuchit kwake ni msamiati wa kireno.
Umemaliza [emoji122][emoji122] safi sana
 
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!!
Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!!
Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba...
Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna.
Kama ni danga una hela basi unipe hela kweli sio vilaki laki maana wewe una hela tu na huna kingine cha kunipa ambacho kitanipa furaha zaidi ya hiyo pesa.
Kama ni mpenzi na tunaringana kipato basi tupeane mapenzi mahaba bila kusahau kupeana pesa maana ndivyo vitu vinanogesha penzi letu.
Na kama ni wapenzi wale tusio na kitu basi tuenjoy penzi letu la kimaskini yaani mwendo wa kubebana, kuogeshana chumba limefungwa lock saa 24 ni mahaba tu yasiyo na usaliti maana maskini kuchit kwake ni msamiati wa kireno.
Akili ya kiutu uzima hii..hongera dada
 
Back
Top Bottom