Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda

Na uzuri wenu mmenyooka hamna mambo mengi, cha msingi tu ni kutimiza job description inayonihusu basi.
Mpewe maua yenu.
 
Kwani kutongozwa ndio kuolewa?
 
Hii kweli nimeshuhudia aisee kuna mmoja ananilalamikia hata wa kuzaa nae aisee
 
Mshangazi mnaitwa huku...
Mmeandikiwa gazeti lenu...

NB: Nawakumbusha wadada kuwa ujana kwao ni maji ya moto na yanapoa haraka...
Ujana ni utapeli
Ubinti ni ubatili
 
Umemaliza [emoji122][emoji122] safi sana
 
Akili ya kiutu uzima hii..hongera dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…