Jinsi Majizzo atakavyomtumia B Dozen

Na kwenye tv si yupo?
Yes yupo.
maswali
1. Anatangaza vipindi gani?
2. Viewers ni wanamna gani?
3. Na vinaenda kwa muda gani?
.
mtu kama Dozen umuweke kwenye kipindi cha Tv kinacholenga vijana wa 16-25 kinachoenda kwa masaa mawili utakuwa unafanya biashara au unapoteza biashara?
 
Mtafute Aloyce Sazia Mapembe wa ITV, Shadee Weris wa Clouds, Mahija Zayumba wa clouds, Aaliya wa wasafi, Elizabeth Mramba wa TBC, Alpha Wawa wa TBC, Tony Albert wa EATV linganisha na watangazaji wako
Samahani chief, how old are you ?
 
B12 akiungana na Kuvichaka kwenye ladha 360, kipindi kikaongezewa muda inaweza kuwa idea nzuri, tena kipewe segment ya ishu za kibongo bongo na muziki wa wabana Pua asimame Dozen na segment ya Hiphop na Muziki wa duniani asimame Jabir
 
Mimi naona anaweza na anafaa sana tu.
 
Nimejaribu kutaja naowakumbuka haraka haraka, Queen Fifi ni wa EA radio.
.
Sam Sasali ana sura ya Radio ila hana sauti ya Radio do you get me?
Mkuu unajibizana na watu ambao hawajui taaluma ya uandishi na utangazaji na wapo blind minded na utimu , utakesha boss
 
Naona ume bet
 
Wanao msikiliza John Pazia kama mimi gonga like. Ndio mtangazaji wangu bora! Na redio yangu pendwa.
 
Mkuu unajibizana na watu ambao hawajui taaluma ya uandishi na utangazaji na wapo blind minded na utimu , utakesha boss
Kazi ipo wanahisi kila mtu anaweza kutangaza kwenye Tv.
tuna George Ambangile ana sauti nzuri sana kushinda presenter yeyote wa soka ila hana muonekano wa TV
 
Edo kumwembe hafiti pote iwe tv au redio
Kazi ipo wanahisi kila mtu anaweza kutangaza kwenye Tv.
tuna George Ambangile ana sauti nzuri sana kushinda presenter yeyote wa soka ila hana muonekano wa TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…