Jinsi mapenzi yalivyofanya ufalme wa Egypt/Mizraim kuanguka na kusambaratika

Halafu mwanamke mwanyewe (Cleopatra) alikua wa kawaida tu ila watu walikua wanavunjana miguu kumkimbilia.
Btw kila mwanamke ni mzuri machoni pa mwanaume aliyemtamani.
Cleopatra was too far hyped
Technology ya Picha ilikuwepo enzi yake!? Ili tuone alivyokua wa kawaida!?
 
Technology ya Picha ilikuwepo enzi yake!? Ili tuone alivyokua wa kawaida!?
Haikuwepo, ila teknolojia ya uchoraji na uchongaji (Sculpturing) ulikua upo juu kwa kiasi kikubwa
 
Umeanza vizuri ila mwisho umeharibu mkuu, Wakatoliki hawaabudu sanamu. Nataka nikueleze kuha hatuabudu sana kwa njia ya maswali.. naomba ujibu maswali yafuatayo Tafadhali
1: Kuabudu ni nini??
2: Hatua za kuabudu ni zipi?? (Zitaje)
Ukishindwa kuzitaja basi kanisani kama unaenda hua unaenda kutembea tu.
Lets roll.....
 
Mbona wabantu hawa?? any way wewe ungeanza na dada zako wa Bukoba walivo choka !! wewe unarukia Mwanza mbaali kule tena kusini mashariki mwa ziwa? mkuu kweli? hiyo moja

pili ni kuwa Cleo patra alikuwa Mweusi tii!! kwa sababu vitotovya kigiriki ilikuwa ni marufuku kuongea Kimisri!! sababu tu ya ubaguzi!! cleopatra alizaliwa na mmoja ya wafanya kazi wakalimani mweusi kwenye Kasri la Ptolemy!! kwa sababu ya uzuri wake kakawa kantumiwa kukalimani mambo ya kifalme!

na wakati ule warumi waliamini Weusi wana akili mingi sana!! ivo wakasisitiza sera ya kuoana, kabla mfalme alexander hajakufa ndo ulikuwa mpango wao ili wapate ilimu ya kutosha wakajenge ma pyramids km yale ya Misri nchini mwao Macedonia!

Vijana wa Ptolemy wakamfanya Cleopatra kuwa mkalimani kati yao na wamisri sababu alizaliwa huko kwenye Castri la Mfalme!! siyo kwamba watawala wa wakati huo hawakutaka kuongea Ki-Misri coptic language no!

walitaka sana ajili ya kubeba maarifa ya kule misri na kuyapeleka kwao! ila tatizo hawakujua kirahisi ilE LUGHA ya wamisi! pia ilifika mahali wamisri hawakuwapenda watawala wale! kwa sababu ya ukatili wao!
 
Mbona wabantu hawa?? any way wewe ungeanza na dada zako wa Bukoba walivo choka !! wewe unarukia Mwanza mbaali kule tena kusini mashariki mwa ziwa? mkuu kweli? hiyo moja
Hahahaaa mimi sio wa BK mzee
Hii mpya kwangu, kwamba Cleopatra alikua mweusi?? Sidhani. Ni kweli wagiriki walikua hawaruhusiwi kujifunza kimisri but hakuna fact inayoonyesha Cleopatra alikua mweusi
na wakati ule warumi waliamini Weusi wana akili mingi sana!! ivo wakasisitiza sera ya kuoana, kabla mfalme alexander hajakufa ndo ulikuwa mpango wao ili wapate ilimu ya kutosha wakajenge ma pyramids km yale ya Misri nchini mwao Macedonia!
Nakubali kua wamisri walikua weusi ndio na mchamganyiko umekuja kuyokea baada ya warabu kuingia na kuzaliana na weusi
Vijana wa Ptolemy wakamfanya Cleopatra kuwa mkalimani kati yao na wamisri sababu alizaliwa huko kwenye Castri la Mfalme!! siyo kwamba watawala wa wakati huo hawakutaka kuongea Ki-Misri coptic language no!
Nijuze zaidi hapa mkuu
walitaka sana ajili ya kubeba maarifa ya kule misri na kuyapeleka kwao! ila tatizo hawakujua kirahisi ilE LUGHA ya wamisi! pia ilifika mahali wamisri hawakuwapenda watawala wale! kwa sababu ya ukatili wao!
Ni kweli lugha ya kimisri ilikua ngumu sana... Ila nado siamini uweusi wa Cleopatra
 
Nikurekebishe Kidogo, Vitabu vya biblia havikupgwa ban bali vilichambuliwa na kuwewa kando vingi vinatumika kama mapokeo vingine havifiki kabisa kwa waumini maana vinaweza kutuvuruga. Ndio maana Wakatoliki sio wajinga kuruhusu picha ya yule mtu aliyeko makanisani kua ndio Yesu. Wanajua wanachofanya coz wana docs zote.
 
Hapa Mkuu nacho jua ni kuwa Biblia, na kanisa la kwanza kabisa la Yesu wa kweli vilipigwa marufuku na Mfalme Constatine!! tena matani na matani ya Biblia yalichomwa moto! lkn kadri ilivopigwa marufuku ndo ilizidi kuonekana zaidi!!

mpaka leo wataalamu wanagundua Biblia zile za mwanzo kabisaaa!! mfano hapa juzi juzi wamepata Dead sea scrow Bibles! hizi zilikuwa zimefichwa huko kwa usalama zaidi na wafuasi kindaki ndaki!! kufuatia agizo la Mfalme constatine! zikasahaulika huko!! na hata uki-google humu zimo!

Baadhi ya vitabu vimepigwa marufuku mpaka leo mfano ''Apocryphas'' sababu kubwa ya kupigwa marufuku ni kwa sababu vinamuonyesha mtu mweupe kuwa ni Nephilms! kisayansi wanaitwa Neandethals!!

Duniani ni mweusi tu asiye kuwa na vinasaba vya Neandethals! weupe wote wanavyo! kwa nini? Biblia haitaji Neandethals kwa nini? vile vile sayansi haitaji Nephilims why? ukiangalia vizuri Nephilims na Neandethal kihistoria wanaenda sambamba! ni hao hao kwa sababu nakupa mfano tu kidogo ;

Wote Neandethals mifupa yao ilipatikana imerundikana mabondeni mfano ni Giblatar Valley kwa nini ili rundikana huko? ? jibu walisombwa na maji!! ......maji gani ya hivi?? ...... mafuriko ya gharika!

Neandethal walipotea Ghafla japo walikuwa na stadi kubwa za maisha --vile vile Nefilims pia walipotea kwa gharika gahfla! na Biblia inasema walikuwa vizuri uwezo!
Kama Nephilims walikufa kwa gharika mabaki yao yako wapi?? mbona ya Neandethals yanapatikana!........jibu; ndo hao hao!

sasa ebu jiulize inakuwaje Maviumbe makubwa yenye uwezo maguvu yafe yaache viumbe vidogo wasiokuwa na miili mikubwa wala stadi za maisha lk wote ni binadamu! jibu ni Gharika!! uliwahi jiuliza hivi kabla ya ALEXANDER the Great hawa wazungu waliishi wapi?

Sababu Bara Ulaya lilifunikwa Barafu rupu siyo? toboa tu Yule kijana yesu Mzungu ndo yeye kweli? Bwana Davinci?? km siye kwa nini wamefanya vile?? na Yesu original ni yupi? hapa kuna kitu unajua ila unazunguka
 
Maelezo yako yana make sense ila mkuu hua mnanishangaza sana mnaosema Yesu alikua mweusi au binaadamu halisi ni mweusi. Kwangu sio big deal kabisa.
Halafu swala la gharika la nuhu lina utata sana siamini kama mvua ilinyesha dunia nzima
CC
Mathanzua
 
Neandethal walipotea Ghafla japo walikuwa na stadi kubwa za maisha --vile vile Nefilims pia walipotea kwa gharika gahfla! na Biblia inasema walikuwa vizuri uwezo
Biblia sometime inachanganya sana ina contradiction hawa Nefilims utawakuta katika vitabu vya musa na gharika kuwafuta. Cha ajabu unawakuta tena kwa wana wa Israel wanawakuta katika ile ardhi ya ahadi nadhani mwandish alichapia au namna gani.

Halafu swala la gharika la nuhu lina utata sana siamini kama mvua ilinyesha dunia nzima
Naungana na wewe gharika ina fikirisha sana
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusoma ujinga huu,kwa kuwa nia ya uzi ni ku-distract watu from real issues.Sijui CIA wanawalipa nini for this distraction.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kusoma ujinga huu,kwa kuwa nia ya uzi ni ku-distract watu from real issues.Sijui CIA wanawalipa nini for this distraction.
Unanichekesha kwakweli serikali yako tu hapa haijui kama mimi nipi sembuse hao CIA. Mkuu hua hutaki kupingwa kwenye mada yoyote na ukipingwa unamshambulia mtu kwamba ni agent wa Shetani. That's not cool mate
 
Biblia sometime inachanganya sana ina contradiction hawa Nefilims utawakuta katika vitabu vya musa na gharika kuwafuta. Cha ajabu unawakuta tena kwa wana wa Israel wanawakuta katika ile ardhi ya ahadi nadhani mwandish alichapia au namna gani.
Biblia ina sema walikuwepo kabla na baada ya gharika Mwanzo 6;4 --- 1samwel 9,2. Kisayansi Weupe Duniani walitokea Cauccus Mountain!! wakatemka kusini mwa Dunia! hivo kwa muktadha huo tukapata neno Cauccasians!

Kwa nini Milimani huko?? bila shaka ndiko waliko ponea! km ujuavyo penye mpango wa Mungu shetani ana plan B'' yake! km haitoshi kuna yuleee!! mfalme Ogu wa Bashan!! ni mnefil pekee aliye pona gaharika!

kitu cha ajabu sasa Alexander the Great alipo pigana vita!! hakuelekea Kaskazini wala Mashariki bali alizichapa kuelekea kusini! Mashariki! ambapo palikuwa ndo penye Maendeleo makubwa Duniani wakti huo!!
 
 
The world on fire and you think all is forgiven?
I Don't look for forgiveness and I'm away past seeking permission
 
Wanawakuza warabu waliopo sasa na kuwabeza watu weusi waliokuwepo kufanya ustaarabu😢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…