ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Leo tuachane na mambo ya kubeti na kamala nyinginezo za mtandaoni zinavyopoteza nguvu kazi kubwa ya taifa na kuifanya iwe tegemezi.
Tuuangalie mtandao wa tiktok nao pia unachangia pakubwa kuongeza idadi ya vijana wanaopatwa ulemavu wa akili haswa dada zetu.
Wadada wengi wanashindwa kufanya kazi za kuwaingizia kipato halali badala yake wamekua wakishinda na kulala huko tik tok live mchana na usiku ukiwafuatilia hakuna cha mana wakofanyacho zaidi ya kupoteza muda tu na kuomba gift na roses,
Nakiona kizazi kikiangamia ni swala la muda tu.
Ukimuuliza mdada anafanya kazi gani atakujibu anafanya online business ukimuuliza unauza nini hakujibu.
Tuuangalie mtandao wa tiktok nao pia unachangia pakubwa kuongeza idadi ya vijana wanaopatwa ulemavu wa akili haswa dada zetu.
Wadada wengi wanashindwa kufanya kazi za kuwaingizia kipato halali badala yake wamekua wakishinda na kulala huko tik tok live mchana na usiku ukiwafuatilia hakuna cha mana wakofanyacho zaidi ya kupoteza muda tu na kuomba gift na roses,
Nakiona kizazi kikiangamia ni swala la muda tu.
Ukimuuliza mdada anafanya kazi gani atakujibu anafanya online business ukimuuliza unauza nini hakujibu.