Jinsi Mkwawa alivyosalitiwa na mtu aliyemuamini

Jinsi Mkwawa alivyosalitiwa na mtu aliyemuamini

Asante mkuu...nimesoma "Mtaki Mwanyenza" nikakumbuka "Kapele" ambaye naye alipewa hadhi ya uchifu mdogo kama mtaki. Kapele naye alikuwa Mnyamwezi, aliyepelekwa ufipani kwa chifu Milanzi wa wafipa baada ya wakoloni - waarabu kisha wajerumani kukumbana na upinzani mkali. Hasa wajerumani walipokuta Wafipa tayari wanatengeneza magobole.

Falme hizi mbili za wafipa na wahehe zilikuwa tishio kwa Chifu Isike wa Tabora, na hata chifu Milambo wa Urambo-Tabora Magharibi alimchukia sana Isike kwa kuwa kibaraka wa wakoloni. Ukizingatia kuwa Mirambo alikuwa chotara wa muha na mbungu. hakuwa pure mnyamwezi.

Isike alikuwa anatumia trick hiyo ya kuwapeleka vibaraka wake katika himaya ngumu kwake na kwa wajerumani, na hata kuwatoa wanawake binti zake na jamaa zake wakaolewa na machifu hao, na hata kuwashawishi waachane na dini zao za asili waembrace dini za wakoloni, hasa dini yake mpya aliyokuwa ameshaipokea kutoka kwa waarabu. trick ambayo alifanikiwa sana kwa mkwawa.
Isike alikua akili nyingi,anasikiliza zaidi kuliko kuongea
 
Asante mkuu...nimesoma "Mtaki Mwanyenza" nikakumbuka "Kapele" ambaye naye alipewa hadhi ya uchifu mdogo kama mtaki. Kapele naye alikuwa Mnyamwezi, aliyepelekwa ufipani kwa chifu Milanzi wa wafipa baada ya wakoloni - waarabu kisha wajerumani kukumbana na upinzani mkali. Hasa wajerumani walipokuta Wafipa tayari wanatengeneza magobole.

Falme hizi mbili za wafipa na wahehe zilikuwa tishio kwa Chifu Isike wa Tabora, na hata chifu Milambo wa Urambo-Tabora Magharibi alimchukia sana Isike kwa kuwa kibaraka wa wakoloni. Ukizingatia kuwa Mirambo alikuwa chotara wa muha na mbungu. hakuwa pure mnyamwezi.

Isike alikuwa anatumia trick hiyo ya kuwapeleka vibaraka wake katika himaya ngumu kwake na kwa wajerumani, na hata kuwatoa wanawake binti zake na jamaa zake wakaolewa na machifu hao, na hata kuwashawishi waachane na dini zao za asili waembrace dini za wakoloni, hasa dini yake mpya aliyokuwa ameshaipokea kutoka kwa waarabu. trick ambayo alifanikiwa sana kwa mkwawa.
Kwa hiyo kumbe Mtaki hakuwa msaliti bali alikuwa mafia wa Isike!?.
 
Maelezo mazuri ila history hii ina sehem tofaut tofaut.wengine wanasema mkwawa alizungukwq na kuvamiwa kutokea vilima vya kama unatokea tosa,na yeye akakimbilia kikongoma huko akaendesha vita kwa muda mrefu mpaka siku alibaki na watumish wake wawil akawatuma wakaokote kuni ndio mmoja akashikwa wakat anaenda kuwaonyesha alipo ndipo wakasikia puuu mlio kufika mkwawa kajilipua.yule aliyebak akakamatwa.wajeruman wakakakata kichwa na kurudisha kalenga.wazee wakatambua kuwa kweli huyu ni mtwa.ndio kichwa kikapelekwa germany. Story nzuri yako ila ndio hivo narratives zipo nying
 
Maelezo mazuri ila history hii ina sehem tofaut tofaut.wengine wanasema mkwawa alizungukwq na kuvamiwa kutokea vilima vya kama unatokea tosa,na yeye akakimbilia kikongoma huko akaendesha vita kwa muda mrefu mpaka siku alibaki na watumish wake wawil akawatuma wakaokote kuni ndio mmoja akashikwa wakat anaenda kuwaonyesha alipo ndipo wakasikia puuu mlio kufika mkwawa kajilipua.yule aliyebak akakamatwa.wajeruman wakakakata kichwa na kurudisha kalenga.wazee wakatambua kuwa kweli huyu ni mtwa.ndio kichwa kikapelekwa germany. Story nzuri yako ila ndio hivo narratives zipo nying
Aisee!.
 
Back
Top Bottom