Kivule
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 639
- 662
Mimi nikiwa mwanayanga halali kabisa na namiliki kadi ya YANGA AFRICA, kwanza kesho mnyama anakaa bila wasiwasi ila yafuatayo lazima yafanyike.
1. Simba mechi iliyopita walitutesa kwa sababu walieka viungo wao watatu pale kati, hivyo nasie kesho inabidi tujaze viungo katikati ikiwezekana waanze THABANI KAMUSOKO (fundi hatari ikitokea faulo goli), HARUNA NIYONZIMA (kiungo bora africa mashariki na kati) na SALUM TELELA.
2. Geofrey mwashiuya uwezo wake ni wa wastani ivyo mechi ya kesho ni heri aanze DEUS KASEKE.
3. KAMUSOKO lazima nae awe anatembea na mpira mana hakai na mpira miguuni km niyonzima, sio vibaya ila muhimu kesho akae na mipira ili tuwapoteze kati
4. Simon msuva yuko vizuri sana na lazima aanze kesho ila ana mpira wake wa kuogopa kuingia kulia na kupiga krosi ivyo kesho awe ana force kupiga chenga na kutia majalo na imani anaiweza vizuri.
Kesho yule mchawi wao hayupo wanamwita OKWI ivo kifo ni lazima mana nikimuonaga uwanjani nahisi mda wowote kwenda chooni ahsanteni.
1. Simba mechi iliyopita walitutesa kwa sababu walieka viungo wao watatu pale kati, hivyo nasie kesho inabidi tujaze viungo katikati ikiwezekana waanze THABANI KAMUSOKO (fundi hatari ikitokea faulo goli), HARUNA NIYONZIMA (kiungo bora africa mashariki na kati) na SALUM TELELA.
2. Geofrey mwashiuya uwezo wake ni wa wastani ivyo mechi ya kesho ni heri aanze DEUS KASEKE.
3. KAMUSOKO lazima nae awe anatembea na mpira mana hakai na mpira miguuni km niyonzima, sio vibaya ila muhimu kesho akae na mipira ili tuwapoteze kati
4. Simon msuva yuko vizuri sana na lazima aanze kesho ila ana mpira wake wa kuogopa kuingia kulia na kupiga krosi ivyo kesho awe ana force kupiga chenga na kutia majalo na imani anaiweza vizuri.
Kesho yule mchawi wao hayupo wanamwita OKWI ivo kifo ni lazima mana nikimuonaga uwanjani nahisi mda wowote kwenda chooni ahsanteni.