Habar za wikend wakuu....naomba kujua hatua/procedures znazomfanya mtumish ajiunge na chama cha wafanyakaz particulary in public organization..coz sheria inatoa uhuru wa kujiunga s.9 of ELRA lakn haijaelezea n kivip anajiunga. Katka hl sheria iko silence na kama unafahamu naomba anipe elimu kidogo!