Jinsi mwanamuziki Salum Abdallah alivyopoteza maisha kwa majeraha ya ajali

Jinsi mwanamuziki Salum Abdallah alivyopoteza maisha kwa majeraha ya ajali

Asante sana kwa kumbukumbu hii, kifo hiki kilihusishwa na imani za ushirikina wa ushindani wa soko la muziki kati ya Moro Jazz ya Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba ya Salum Abdallah. Alinyooshewa kidole Mbaraka!.

Karma nayo haina ajizi!, what goes around comes around, baada ya miaka kadhaa kupita, Mbaraka Mwishehe naye yakamkuta, alikufa kwa ajali ya gari jijini Nairobi.

Karma is real!.

Huu uchawi wa ajali wanafanyiana sana matajiri wa mabasi, na mastaa, ila mwisho wa siku nao hufa kwa ajali!, ambazo japo huonekana kama real accidents na watu hufa kweli ila some ni fake accidents ili tuu kutoa roho ya mtu!.
Ajali ya Sokoine
Ajali ya Chacha Wangwe
Ajali ya Mtikila
Ajali ya Mwakyembe
Ajali ya Deo Filikunjombe
Ajali ya tajiri wa Mabasi ya Nyatco
Kifo cha Gibson Sembuli
Kifo cha Kanumba
Kifo cha Sharo Milionea
Kifo cha Magwea
Kifo cha Adili Kumbuka
Kifo cha Marijan Rajabu

The list goes on!
P
Dah kifo cha jabali la muziki Marijani Rajabu kilihitimisha muziki wenye mafunzo na ushauri kwa vijana, wazee na watanzania wa rika zote.
 
Asante sana kwa kumbukumbu hii, kifo hiki kilihusishwa na imani za ushirikina wa ushindani wa soko la muziki kati ya Moro Jazz ya Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba ya Salum Abdallah. Alinyooshewa kidole Mbaraka!.

Karma nayo haina ajizi!, what goes around comes around, baada ya miaka kadhaa kupita, Mbaraka Mwishehe naye yakamkuta, alikufa kwa ajali ya gari jijini Nairobi.

Karma is real!.

Huu uchawi wa ajali wanafanyiana sana matajiri wa mabasi, na mastaa, ila mwisho wa siku nao hufa kwa ajali!, ambazo japo huonekana kama real accidents na watu hufa kweli ila some ni fake accidents ili tuu kutoa roho ya mtu!.
Ajali ya Sokoine
Ajali ya Chacha Wangwe
Ajali ya Mtikila
Ajali ya Mwakyembe
Ajali ya Deo Filikunjombe
Ajali ya tajiri wa Mabasi ya Nyatco
Kifo cha Gibson Sembuli
Kifo cha Kanumba
Kifo cha Sharo Milionea
Kifo cha Magwea
Kifo cha Adili Kumbuka
Kifo cha Marijan Rajabu

The list goes on!
P
Huwaga sipati logic ya mwanamuziki kumuua mwanamuziki wa kundi jingine kwa sababu ya ushindani.


Plus hapo kwa kanumba hebu toa ufafanuzi kidogo
 
Juma KILAZA, Mwanamuziki huyo alikuwa na tambo na majigambo kuwa yeye ni bora kuliko gwiji la muziki Mbaraka Mwinshehe na ana uwezo mkubwa wa kutumia vyombo vya muziki kuliko Mbaraka Mwinshehe.

Ili kuondoa doubt, liliandaliwa Pambano kati ya KILAZA na Mwinshehe lakini tofauti na tambo za KILAZA, Mwinshehe alamgaragaza vibaya sana mpinzani wake na KILAZA alionesha UWEZO MDOGO SANA.
Mbaraka alimuonesha juma kilaza kuwa yeye ni kilaza kwa kumchapa na lile song la Jogoo la shamba haliwiki mjini. Pambano likawa limeishia hapo.
 
Dah kifo cha jabali la muziki Marijani Rajabu kilihitimisha muziki wenye mafunzo na ushauri kwa vijana, wazee na watanzania wa rika zote.
Mimi nikiwa mtangazaji wa RTD, nili cover msiba wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu, ile 1994 nikatengeneza a 30 min radio documentary ya Marijani Rajabu
Mpaka leo ipo library ya RTD. Saa hizi ninapoelekea 60 nitazi compile baadhi ya kazi zangu za zamani na kuzi digitize kuzihifadhi kidigitali.

P
 
Mimi nikiwa mtangazaji wa RTD, nili cover msiba wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu, ile 1994 nikatengeneza a 30 min radio documentary ya Marijani Rajabu
Mpaka leo ipo library ya RTD. Saa hizi ninapoelekea 60 nitazi compile baadhi ya kazi zangu za zamani na kuzi digitize kuzihifadhi kidigitali.

P
Hangera mkuu Pascal, fanya hivyo mapema iwezekanavyo tupate kuisikia tena hiyo documentary.
 
Mimi nikiwa mtangazaji wa RTD, nili cover msiba wa Jabali la Muziki, Marijani Rajabu, ile 1994 nikatengeneza a 30 min radio documentary ya Marijani Rajabu
Mpaka leo ipo library ya RTD. Saa hizi ninapoelekea 60 nitazi compile baadhi ya kazi zangu za zamani na kuzi digitize kuzihifadhi kidigitali.

P
Dah ama kwa hakika uliuthamini sana mchango wa wanamuziki wetu wakubwa. Mungu akubariki kwa hilo.
 
Umenena vyema sana hivi ndivyo nilivyo hadithiwa pia na mzee wangu na akaniambia hata wimbo wa matusi ya nini Mbaraka Mwishehe alimuimbia Kilaza sababu ya matendo ya Kilaza dhidi ya Mbaraka ndio maana mwanzo wa wimbo utamsikia Mbaraka Mwishehe akisema tulikua na Salum mpaka kaenda ahera hawakuwahi kutukanana lakini alipoingia Juma kilaza ndio matusi yakaanza yakitoka kwake Juma kwenda kwa Mbaraka..
Na katika wimbo huo pia Mbaraka anasikika akimlaumu Kilaza kuharibu muziki wa Morogoro na sifa nzuri ya mji huo katika tasnia ya muziki..
Hivi karibuni Saidi Athumani Makelele aliyekuwa mpiga ala ya tarumbets katika bendi ya Supet Volcano alitoa maelezo ya kusisimua juu ya Soloist national Mbaraka Mwinshehe Mwzruka nakukaribisha uayasikilize ttps://youtu.be/fbJ2OlOadnY?feature=shared
 
Mkongwe David Senyagwa mtaalamu mbobezi wa gitaa la kati asimulia safari yake ya kimuziki Cuban Marimba KZ Morogoro jazz
Super Volcano na Mzinga Troupe aliyeshudia joto la ushindani kati ya Juma Kilaza na Mbaraka. Hebu msikilize niliahidi kutoa nyimbo 4 za Mbaraka Mwinshehe zilizorudiwa upya na binti yake. Sasa zipo tayari. Kipindi cha miaka kama minne nyuma wadau wa jamii forum toka Kenya waliomba tulioko Tanzania tuwaenzi wakongwr wa muziki maoni hayo yalinigusa sana haswa kutoka kwa Mwanika Kiburi wa Kenya aliyeomba hata foundation ya Mbarka iundwe alionesha utayari wa kuunga mkono jambo hilo mimi kwa upande wangu nimejaribu nilichoweza. Juhudi zangu zimesnza kwa kwa kuwaenzi nguli Juma Kilaza na Mbaraka Mwinshehe. Wadau karibuni kuniunga mkono
View: https://youtu.be/8H3kb6lpyo8?si=nLW3roaqmccK21EF
 
Back
Top Bottom