Asante sana kwa kumbukumbu hii, kifo hiki kilihusishwa na imani za ushirikina wa ushindani wa soko la muziki kati ya Moro Jazz ya Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba ya Salum Abdallah. Alinyooshewa kidole Mbaraka!.
Karma nayo haina ajizi!, what goes around comes around, baada ya miaka kadhaa kupita, Mbaraka Mwishehe naye yakamkuta, alikufa kwa ajali ya gari jijini Nairobi.
Karma is real!.
Huu uchawi wa ajali wanafanyiana sana matajiri wa mabasi, na mastaa, ila mwisho wa siku nao hufa kwa ajali!, ambazo japo huonekana kama real accidents na watu hufa kweli ila some ni fake accidents ili tuu kutoa roho ya mtu!.
Ajali ya Sokoine
Ajali ya Chacha Wangwe
Ajali ya Mtikila
Ajali ya Mwakyembe
Ajali ya Deo Filikunjombe
Ajali ya tajiri wa Mabasi ya Nyatco
Kifo cha Gibson Sembuli
Kifo cha Kanumba
Kifo cha Sharo Milionea
Kifo cha Magwea
Kifo cha Adili Kumbuka
Kifo cha Marijan Rajabu
The list goes on!
P