Kuna hawa vijana wanaosajili line ukiwapa namba yako ya simu wafanya wanavyojua wao wanakupa namba yako ya NIDA. So ni rahisi tu kwa mtu mwenye nia ovu kupata taarifa zako zote akatekeleza uovu wake.Hawaulizi namba ya Nida ya line iliyosajili? ninachojua bila kuwa na Nida no hawezi kufanya wala kupata chochote.
Namba ya NIDA kupatikana ni simple sana.Hawaulizi namba ya Nida ya line iliyosajili? ninachojua bila kuwa na Nida no hawezi kufanya wala kupata chochote.
customer care huwa wana uliza no ya nida na data zingine uki miss chochote hapo .upewi code hata kama line ni yakooKuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka zile password/pin ambazo ukizima simu na kuwasha inadai uingize kwanza password kwenye hiyo line kabla ya kuendelea kutumia hiyo line.
Hebu fikiri, mtu aliibiwa simu na siku moja baadae ikafanyika miamala ya kuhamisha fedha kutoka kwenye account yake ya M-Pesa kiasi cha zaidi ya TZS. 3,000,000/= kwenda kwenye namba tofauti za simu. Swali ambalo wengi wangependa kujua ni kwamba, mwizi huyo aliwezaje kujua namba ya siri ya aliyeibiwa simu hadi kuweza ku- access account yake ya M-pesa na kutoa fedha??!!
Wengi wetu wanaweza kusema watu wa kampuni za simu wanahusika katika hili. Hebu fuatilia ujue mbinu iliyotumika au inayotumiwa na wezi wa aina hii:
1. Simu ikishaibiwa, kama simu yenyewe ina password, wanatoa line na kuweka kwenye simu nyingine.
2. Hatua ya pili, mwizi atataka kujua line hiyo ya simu imesajiliwa kwa jina gani? Hivyo atapiga *106# na baada ya hapo atabonyeza No 1. Kama line imesajiliwa, atakuwa amepata kujua jina kamili la mmiliki wa line hiyo.
3. Hatua ya tatu, atataka kufahamu account ya mwenye simu, mfano: m-pesa, ina kiasi gani cha fedha? Hapo mwizi atatumia simu yake au simu ya mtu mwingine anayefahamiana naye kutuma kiasi fulani cha fedha, mfano atatuma TZS. 2,000/= kwenda kwenye namba ya simu ya aliyeibiwa. Pesa hiyo ikishaingia, automatically line ya simu iliyoibiwa italetewa sms inayoonyesha kutumiwa kiasi cha fedha, na salio lake jipya la wakati huo baada ya kutumiwa fedha.
4. Baada ya mwizi kujua salio, sasa anaweza kuweka mikakati ya kuiba kama account ya aliyeibiwa simu ina kiasi cha fedha zinazoweza kuibika.
•Hatua ya kwanza anapiga simu Customer Care na kujitambulisha kuwa yeye ndiye mwenye line ya simu iliyobiwa. Kumbuka jina analo tayari.
•Hatua ya pili akishapiga simu, atawaambia kuwa amesahau password ya account yake, Customer Care watakachotaka kujua kutoka kwake ni lini alifanya muamala wa mwisho, na ilikuwa ni kiasi gani, na salio lake kwenye account yake ni kiasi gani. Kumbuka taarifa zote hizo jamaa anazo tayari, hivyo anawaelezea watu wa Customer Care na wanamuelewa vizuri tu.
•Kutokana na usahihi wa taarifa za mwizi alizotoa kwa Customer Care, watamuamini na kumtumia code namba ambazo atatumia kubadilisha namba ya siri, na hivyo anafanikiwa ku-access account ya victim na kufanya miamala vile atakavyo.
MUHIMU
Ni vyema ikitokea mtu kaibiwa simu yake, immediately apige simu kampuni husika na kutoa taarifa ili line yake iwe blocked. Asitumie muda mrefu kutoa taarifa polisi na kufuatilia Loss Report pasipo kwanza kuwasiliana na Service Provider. Hii inaweza kusaidia kuzuia madhara yanayoweza kutokea mara baada ya mtu kuibiwa simu. Asanteni
USHAURI PIA KWA MITANDAO YA SIMU.
Mtu akipiga simu kuomba msaada wa kubadilisha namba ya siri waongeze pia idadi ya maswali ya udadisi kama namba ya kitambulisho alichosajili sajilia line, mwaka wa kuzaliwa, nk
Nikitaka kukuibia PIN haitakusaidia chochote nitakachofanya naingiza wrong PIN mara 3 naambiwa PIN blocked enter PUK kisha nachukua cm nyingine napiga customer service naomba PUK naingiza line inafunguka naambiwa enter new PIN (hii imeenda).
Ukiibiwa simu piga call center funga line simple , ili mwizi akuibie anatakiwa kuwa na data nyingi zaidi ya ulizoainishaKuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka zile password/pin ambazo ukizima simu na kuwasha inadai uingize kwanza password kwenye hiyo line kabla ya kuendelea kutumia hiyo line.
Hebu fikiri, mtu aliibiwa simu na siku moja baadae ikafanyika miamala ya kuhamisha fedha kutoka kwenye account yake ya M-Pesa kiasi cha zaidi ya TZS. 3,000,000/= kwenda kwenye namba tofauti za simu. Swali ambalo wengi wangependa kujua ni kwamba, mwizi huyo aliwezaje kujua namba ya siri ya aliyeibiwa simu hadi kuweza ku- access account yake ya M-pesa na kutoa fedha??!!
Wengi wetu wanaweza kusema watu wa kampuni za simu wanahusika katika hili. Hebu fuatilia ujue mbinu iliyotumika au inayotumiwa na wezi wa aina hii:
1. Simu ikishaibiwa, kama simu yenyewe ina password, wanatoa line na kuweka kwenye simu nyingine.
2. Hatua ya pili, mwizi atataka kujua line hiyo ya simu imesajiliwa kwa jina gani? Hivyo atapiga *106# na baada ya hapo atabonyeza No 1. Kama line imesajiliwa, atakuwa amepata kujua jina kamili la mmiliki wa line hiyo.
3. Hatua ya tatu, atataka kufahamu account ya mwenye simu, mfano: m-pesa, ina kiasi gani cha fedha? Hapo mwizi atatumia simu yake au simu ya mtu mwingine anayefahamiana naye kutuma kiasi fulani cha fedha, mfano atatuma TZS. 2,000/= kwenda kwenye namba ya simu ya aliyeibiwa. Pesa hiyo ikishaingia, automatically line ya simu iliyoibiwa italetewa sms inayoonyesha kutumiwa kiasi cha fedha, na salio lake jipya la wakati huo baada ya kutumiwa fedha.
4. Baada ya mwizi kujua salio, sasa anaweza kuweka mikakati ya kuiba kama account ya aliyeibiwa simu ina kiasi cha fedha zinazoweza kuibika.
•Hatua ya kwanza anapiga simu Customer Care na kujitambulisha kuwa yeye ndiye mwenye line ya simu iliyobiwa. Kumbuka jina analo tayari.
•Hatua ya pili akishapiga simu, atawaambia kuwa amesahau password ya account yake, Customer Care watakachotaka kujua kutoka kwake ni lini alifanya muamala wa mwisho, na ilikuwa ni kiasi gani, na salio lake kwenye account yake ni kiasi gani. Kumbuka taarifa zote hizo jamaa anazo tayari, hivyo anawaelezea watu wa Customer Care na wanamuelewa vizuri tu.
•Kutokana na usahihi wa taarifa za mwizi alizotoa kwa Customer Care, watamuamini na kumtumia code namba ambazo atatumia kubadilisha namba ya siri, na hivyo anafanikiwa ku-access account ya victim na kufanya miamala vile atakavyo.
MUHIMU
Ni vyema ikitokea mtu kaibiwa simu yake, immediately apige simu kampuni husika na kutoa taarifa ili line yake iwe blocked. Asitumie muda mrefu kutoa taarifa polisi na kufuatilia Loss Report pasipo kwanza kuwasiliana na Service Provider. Hii inaweza kusaidia kuzuia madhara yanayoweza kutokea mara baada ya mtu kuibiwa simu. Asanteni
USHAURI PIA KWA MITANDAO YA SIMU.
Mtu akipiga simu kuomba msaada wa kubadilisha namba ya siri waongeze pia idadi ya maswali ya udadisi kama namba ya kitambulisho alichosajili sajilia line, mwaka wa kuzaliwa, nk
K-vant nini mkuu?Nilisoma vibaya hang over sio kitu kizuri...[emoji28]
Kama line imefungwa kwa PIN hutoweza kuijua namba ya simu Ile uweze kuiombea PUKVodacom hawana utaratibu huo ukihitaji PUK ha ina hata haja ya kuwapigia unabonyeza tu *149*01# unaenda namba 9 Jihudumie (kama una line ya voda hapo jaribu sasa hivi)
HiyohiyoK-vant nini mkuu?
Atapata kwa njia gani ?Namba ya NIDA kupatikana ni simple sana.
Ataijuaje no ya simu?Labda niulize, line ikiwa pined, mwizi hawezi kutumia utaratibu huo huo wa kuomba msaada huduma kwa wateja kwa service provider ili afunguliwe password?
Bila ya kujua no ya simu?Nikitaka kukuibia PIN haitakusaidia chochote nitakachofanya naingiza wrong PIN mara 3 naambiwa PIN blocked enter PUK kisha nachukua cm nyingine napiga customer service naomba PUK naingiza line inafunguka naambiwa enter new PIN (hii imeenda).
Mimi Kampuni ya simu ikimpa mtu yeyote namba ya siri kisa tu amejua akaunti ina kiasi gani na muamala wa mwisho umefanyika lini, basi tunakutana mahakamani. Maana mtu yeyote wa Customer care anaweza kujua hizo taarifa bila kufanya jitihada yeyote ya maana. Kitu sensitive kama password ni lazima ibadilishwe physically kwa alama za vidole hata kwa wakala tu, muhusika aweke dole gumba na fingerprint ikisoma ndio umpe password mpya.Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka zile password/pin ambazo ukizima simu na kuwasha inadai uingize kwanza password kwenye hiyo line kabla ya kuendelea kutumia hiyo line.
Hebu fikiri, mtu aliibiwa simu na siku moja baadae ikafanyika miamala ya kuhamisha fedha kutoka kwenye account yake ya M-Pesa kiasi cha zaidi ya TZS. 3,000,000/= kwenda kwenye namba tofauti za simu. Swali ambalo wengi wangependa kujua ni kwamba, mwizi huyo aliwezaje kujua namba ya siri ya aliyeibiwa simu hadi kuweza ku- access account yake ya M-pesa na kutoa fedha??!!
Wengi wetu wanaweza kusema watu wa kampuni za simu wanahusika katika hili. Hebu fuatilia ujue mbinu iliyotumika au inayotumiwa na wezi wa aina hii:
1. Simu ikishaibiwa, kama simu yenyewe ina password, wanatoa line na kuweka kwenye simu nyingine.
2. Hatua ya pili, mwizi atataka kujua line hiyo ya simu imesajiliwa kwa jina gani? Hivyo atapiga *106# na baada ya hapo atabonyeza No 1. Kama line imesajiliwa, atakuwa amepata kujua jina kamili la mmiliki wa line hiyo.
3. Hatua ya tatu, atataka kufahamu account ya mwenye simu, mfano: m-pesa, ina kiasi gani cha fedha? Hapo mwizi atatumia simu yake au simu ya mtu mwingine anayefahamiana naye kutuma kiasi fulani cha fedha, mfano atatuma TZS. 2,000/= kwenda kwenye namba ya simu ya aliyeibiwa. Pesa hiyo ikishaingia, automatically line ya simu iliyoibiwa italetewa sms inayoonyesha kutumiwa kiasi cha fedha, na salio lake jipya la wakati huo baada ya kutumiwa fedha.
4. Baada ya mwizi kujua salio, sasa anaweza kuweka mikakati ya kuiba kama account ya aliyeibiwa simu ina kiasi cha fedha zinazoweza kuibika.
•Hatua ya kwanza anapiga simu Customer Care na kujitambulisha kuwa yeye ndiye mwenye line ya simu iliyobiwa. Kumbuka jina analo tayari.
•Hatua ya pili akishapiga simu, atawaambia kuwa amesahau password ya account yake, Customer Care watakachotaka kujua kutoka kwake ni lini alifanya muamala wa mwisho, na ilikuwa ni kiasi gani, na salio lake kwenye account yake ni kiasi gani. Kumbuka taarifa zote hizo jamaa anazo tayari, hivyo anawaelezea watu wa Customer Care na wanamuelewa vizuri tu.
•Kutokana na usahihi wa taarifa za mwizi alizotoa kwa Customer Care, watamuamini na kumtumia code namba ambazo atatumia kubadilisha namba ya siri, na hivyo anafanikiwa ku-access account ya victim na kufanya miamala vile atakavyo.
MUHIMU
Ni vyema ikitokea mtu kaibiwa simu yake, immediately apige simu kampuni husika na kutoa taarifa ili line yake iwe blocked. Asitumie muda mrefu kutoa taarifa polisi na kufuatilia Loss Report pasipo kwanza kuwasiliana na Service Provider. Hii inaweza kusaidia kuzuia madhara yanayoweza kutokea mara baada ya mtu kuibiwa simu. Asanteni
USHAURI PIA KWA MITANDAO YA SIMU.
Mtu akipiga simu kuomba msaada wa kubadilisha namba ya siri waongeze pia idadi ya maswali ya udadisi kama namba ya kitambulisho alichosajili sajilia line, mwaka wa kuzaliwa, nk
inategemea na aina ya simu ya aliyepata ajali.Ukiweka PIN kwenye laini na ikatokea umepata ajali umekufa watu watashindwa kukusaidia kuwapigia ndugu zako
Lakini ndugu zako wataweza kukupigia na hao watu wakapokea simu kuwataarifu kuwa umepata ajali. Yaani kama wana nia ya kutoa taarifa, watatoa tu labda kama hupigiwagi simu kabisaUkiweka PIN kwenye laini na ikatokea umepata ajali umekufa watu watashindwa kukusaidia kuwapigia ndugu zako