Jinsi mwizi anaweza kuiba pesa kwenye simu yako ambayo haina passwords kwenye line

Ukiibiwa simu piga call center funga line simple , ili mwizi akuibie anatakiwa kuwa na data nyingi zaidi ya ulizoainisha
Na ukipiga simu kutoa taarifa line ifungwe halafu kampuni ya mtandao wa simu wakachelewa kuifunga na mwizi akaifanyia uhalifu, ripoti suala hilo TCRA, utalipwa fedha zako. Huko TCRA unaruhusiwa kuwakilishwa na wakili na ni muhimu sana kwa kuwa mitandao ya simu huwa hawataki kulipa hiyo fedha. Ukitaka msaada zaidi wasiliana nami kwa 0713368153 Lusajo (wakili)
 
Nikitaka kukuibia PIN haitakusaidia chochote nitakachofanya naingiza wrong PIN mara 3 naambiwa PIN blocked enter PUK kisha nachukua cm nyingine napiga customer service naomba PUK naingiza line inafunguka naambiwa enter new PIN (hii imeenda).
Sio kweli kbs
 
Na mfano wakahitaji kitambulisho ulichosajilia ......huyo mwizi atajuaje namba YAKO ya Nida????
 
Unaweza kuondoa na kubadilisha pia kwenye laini za halotel
 
Hawaulizi namba ya Nida ya line iliyosajili? ninachojua bila kuwa na Nida no hawezi kufanya wala kupata chochote.
Na mimi najua hivi pia.lazima uulizwe namba ya kitambulisho ulichotumia kusajiri
 
Pin Kwenye line mpya za halotel haitoki
PIN inatolewa ndani ya sekunde zisizozidi 60 tangu usajili wa awali kabla laini haijasoma vizuri (ongea vizuri na mawakala wako)
 
Mambo mengine ni kama destiny.

Naamini wengi siku hizi hawaserve majina kwenye line, wanaseve kwenye emails, hasa wanaotumia smartphones. Hivyo yawezekana hata kama hiyo line isingekuwa na password, bado mngekosa majina kwenye line.

Btw! Hao manispaa kabla hawajafanya mazishi hawakutoa taarifa nyingine kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu marehemu? Ili ndugu wajitokeze kwenda kutambua mwili? Alizikwa haraka haraka?
 
Nikitaka kukuibia PIN haitakusaidia chochote nitakachofanya naingiza wrong PIN mara 3 naambiwa PIN blocked enter PUK kisha nachukua cm nyingine napiga customer service naomba PUK naingiza line inafunguka naambiwa enter new PIN (hii imeenda).
Wee siku hizi wanataka nida number ndo utumiwe PUK...Namaswali mengine
 
Hadi hapo kampuni inahusika,

Mtu akifungua case kudai kampuni imlipe Kwa kuwa imeshirikiana na wezi ,anashindwa case asubuhi tu.
 
Muhimu pia ni kuweka namba za dharura kwenye smartphone yako Yani ikiwa locked mtu akibonyeza emergency namba za dharura zinakuja ambazo uliziweka ikitokea dharura wapigiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…