Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.
Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.
Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.
Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!
Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.
Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.
Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.
Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!
Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.
Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.