Jinsi Namibia walivyoikabili corona na leo hakuna maambukizi tena

Jinsi Namibia walivyoikabili corona na leo hakuna maambukizi tena

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.

Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.

Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.

Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!

Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.

Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
 
Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.

Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.

Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.

Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!

Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.

Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
good news
 
Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.

Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.

Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.

Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!

Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.

Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
Wanastahili pongezi za dhati.
 
Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.

Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.

Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.

Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!

Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.

Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
ASANTE ,TUWEKEE NA HALI YAO YA KIUCHUMI BAADA YA KUKAA NDANI MUDA HUO.
WEKA NA PICHA KABISA SIO MANENO MATUPU,MAANA MKONO MTUPU HAULAMBWI.
 
ASANTE ,TUWEKEE NA HALI YAO YA KIUCHUMI BAADA YA KUKAA NDANI MUDA HUO.
WEKA NA PICHA KABISA SIO MANENO MATUPU,MAANA MKONO MTUPU HAULAMBWI.
Sehemu nyingi za nchi ni maskini kuliko hata Tanzania. Mijini ni matajiri tu tena wa kizungu ndio wapo vizuri wengine ni kawaida tena hawana opportunities kubwa kama Tanzania. Namibia ni taifa changa na lenye kukosa usawa kiuchumi. Unaweza ukadanganyika ukifika Windhoek kwasababu mji ni mzuri sana ila ukisogea pembezoni mwa mji ndio utaona hali halisi.
Haya ni makazi ya baadhi ya Wanamibia mjini. Nchi ni kame sana.
1588665755083.png

Ila miji ya wazungu ipo vizuri.
1588666616965.png

1588666859826.png
 
Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.

Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.

Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.

Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!

Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.

Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
Namibia lazima ingekuwa rahisi kuikontrol.covid , kwanza wapo wachache sana na population ni scattered , kwa population ya 2.5 mile ni rahisi kuongea kitu mkaelewana ,

kwa population yetu ya 60 mil na uzembe unaofanyika korona itatupiga pakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namibia lazima ingekuwa rahisi kuikontrol.covid , kwanza wapo wachache sana na population ni scattered , kwa population ya 2.5 mile ni rahisi kuongea kitu mkaelewana ,

kwa population yetu ya 60 mil na uzembe unaofanyika korona itatupiga pakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna visiwa vidogo kabisa vyenye population ya watu laki 5 na vingine 1 milioni kama Zanzibar lakini wameshindwa kuidhibiti corona. Estonia na Iceland wana visa vingi zaidi ya Tanzania (ukweli ni kwamba Tz ina visa vingi sana ila vimefumbwa).
 
Nadhani hata sisi kutokana population yetu hatuko vibaya sana...
 
fazili hiyo nchi inamipango kwa kila sekta yao hivyo janga lolote likija wanaweza kupangua,fikiria hotuba ya kenyata wa Kenya na hotuba ya magufuli ni kama ubungo na London ,Uhuru anasema wakenya wote tuungane pamoja ugonjwa ulikuwa nje sasa upo kwetu hivyo tuungane pamoja na sisi viongozi wa juu tutapunguza mishahara yetu ili kuweza kusaidia corona,madaktari na wafanyakazi wengine tufanyekazi,hotuba ya magufuli;kwanza kaugonjwa kenyewe ni kadogo kamati za corona ni waongo mnatangaza takwimu za uwongo 😁😁 sasa natangaza hizi za kwangu,ohho kuna watu wanasema nipo chato ,hapa ni nyumbani kwangu hata nikifa nizikwe hapa,halafu tulipeleka sampuli za papai ,ubwabwa,kware😁😁 unaweza kupima tu hapa Nani anafanyakazi kama Rais na Nani anafanyakazi kama mwenyekiti wa kitongoji hivyo nchi za wenzetu hata kama zipo Africa lakini unapata maono ya safari wanayokwenda
 
Sehemu nyingi za nchi ni maskini kuliko hata Tanzania. Mijini ni matajiri tu tena wa kizungu ndio wapo vizuri wengine ni kawaida tena hawana opportunities kubwa kama Tanzania. Namibia ni taifa changa na lenye kukosa usawa kiuchumi. Unaweza ukadanganyika ukifika Windhoek kwasababu mji ni mzuri sana ila ukisogea pembezoni mwa mji ndio utaona hali halisi.
Haya ni makazi ya baadhi ya Wanamibia mjini. Nchi ni kame sana.
View attachment 1440285
Kumbe ndo maana wamefunga mipaka,''the have nothing to loose"
jaribu kumwambia mtu mwenye shamba lake la nyanya au mipapai
inayomwagiliwa kila siku akae ndani uone kama atakuelewa.
 
Kumbe ndo maana wamefunga mipaka,''the have nothing to loose"
jaribu kumwambia mtu mwenye shamba lake la nyanya au mipapai
inayomwagiliwa kila siku akae ndani uone kama atakuelewa.
Hakuna nchi ambayo waweza kusema they have nothing to lose, ni suala la kuangalia mbele na kuona nini kinakuja kama hatufungi. Kwa tanzania wakati wenzetu kama Kenya na Uganda waliofunga wanaanza kuachia sisi ndio hali inakuwa mbaya sasa. Na tena wakenya, waganda, wanyarwanda , nk hawataki kupokea wageni kutoka Tz kwani wanaona hawa ndio waathirika. Tulikosea kuchukua hatua za ki-strategia kwasababu ya ujinga wa viongozi wetu na ubishi, udikteta, nk. Mtaelewa huko mbeleni.
 
fazili hiyo nchi inamipango kwa kila sekta yao hivyo janga lolote likija wanaweza kupangua,fikiria hotuba ya kenyata wa Kenya na hotuba ya magufuli ni kama ubungo na London ,Uhuru anasema wakenya wote tuungane pamoja ugonjwa ulikuwa nje sasa upo kwetu hivyo tuungane pamoja na sisi viongozi wa juu tutapunguza mishahara yetu ili kuweza kusaidia corona,madaktari na wafanyakazi wengine tufanyekazi,hotuba ya magufuli;kwanza kaugonjwa kenyewe ni kadogo kamati za corona ni waongo mnatangaza takwimu za uwongo 😁😁 sasa natangaza hizi za kwangu,ohho kuna watu wanasema nipo chato ,hapa ni nyumbani kwangu hata nikifa nizikwe hapa,halafu tulipeleka sampuli za papai ,ubwabwa,kware😁😁 unaweza kupima tu hapa Nani anafanyakazi kama Rais na Nani anafanyakazi kama mwenyekiti wa kitongoji hivyo nchi za wenzetu hata kama zipo Africa lakini unapata maono ya safari wanayokwenda
Nilimsikia siku ya kumpwapisha mwigulu akisema pia kwamba corona ni mafua yaliyo advance tu!
 
Back
Top Bottom