Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Namibia ni mafukara wa kutupwa ukitoa jiji lao
Sehemu nyingi za nchi ni maskini kuliko hata Tanzania. Mijini ni matajiri tu tena wa kizungu ndio wapo vizuri wengine ni kawaida tena hawana opportunities kubwa kama Tanzania. Namibia ni taifa changa na lenye kukosa usawa kiuchumi. Unaweza ukadanganyika ukifika Windhoek kwasababu mji ni mzuri sana ila ukisogea pembezoni mwa mji ndio utaona hali halisi.
Haya ni makazi ya baadhi ya Wanamibia mjini. Nchi ni kame sana.
View attachment 1440285
Ila miji ya wazungu ipo vizuri.
View attachment 1440298
View attachment 1440301