Sehemu nyingi za nchi ni maskini kuliko hata Tanzania. Mijini ni matajiri tu tena wa kizungu ndio wapo vizuri wengine ni kawaida tena hawana opportunities kubwa kama Tanzania. Namibia ni taifa changa na lenye kukosa usawa kiuchumi. Unaweza ukadanganyika ukifika Windhoek kwasababu mji ni mzuri sana ila ukisogea pembezoni mwa mji ndio utaona hali halisi.
Haya ni makazi ya baadhi ya Wanamibia mjini. Nchi ni kame sana.
View attachment 1440285
Ila miji ya wazungu ipo vizuri.
View attachment 1440298
View attachment 1440301
Kumbe ndo maana wamefunga mipaka,''the have nothing to loose"
jaribu kumwambia mtu mwenye shamba lake la nyanya au mipapai
inayomwagiliwa kila siku akae ndani uone kama atakuelewa.
BASI TUKAE KIMYA TUSUBIRI HIYO MBELENI,KELELE ZA NINI SASA?Hakuna nchi ambayo waweza kusema they have nothing to lose, ni suala la kuangalia mbele na kuona nini kinakuja kama hatufungi. Kwa tanzania wakati wenzetu kama Kenya na Uganda waliofunga wanaanza kuachia sisi ndio hali inakuwa mbaya sasa. Na tena wakenya, waganda, wanyarwanda , nk hawataki kupokea wageni kutoka Tz kwani wanaona hawa ndio waathirika. Tulikosea kuchukua hatua za ki-strategia kwasababu ya ujinga wa viongozi wetu na ubishi, udikteta, nk. Mtaelewa huko mbeleni.
Na ukiwa fukara lazima utekeleze kila unachoambiwa ili mkono uende kinywani,Ufukara umeongezeka mara mia moja kule
Unajua idadi sahihi kwa huku kwetu?Nadhani hata sisi kutokana population yetu hatuko vibaya sana...
Kondoo wengi hufa kwa kukaa kimya. Niliamka siku moja nikakuta kondoo analiwa mzima mzima na mbwa watatu cha kushangaza alikuwa hata halii, niliyosikia ni milio isiyo ya kawaida ya mbwa na sio kondoo, maskini...ndivyo tulivyo watanzania.BASI TUKAE KIMYA TUSUBIRI HIYO MBELENI,KELELE ZA NINI SASA?
Ulimsaidiaje?Kondoo wengi hufa kwa kukaa kimya. Niliamka siku moja nikakuta kondoo analiwa mzima mzima na mbwa watatu cha kushangaza alikuwa hata halii, niliyosikia ni milio isiyo ya kawaida ya mbwa na sio kondoo, maskini...ndivyo tulivyo watanzania.
Labda ningekuuliza wewe nini tofauti yako na kondoo anayekaa kimya huku anaangamia manake wewe unasema tukae kimya huku watu ikiwa ni pamoja na wewe wanaangamia. Mimi angalau nawaambia tusikae kimya tuseme hata kwa kuandika kwa namna ambayo serikali itaona kweli kuna shida, lakini wewe unawaambia watu kaeni kimya?!Ulimsaidiaje?
Nini tofauti yako na kondoo aliyekuwa analiwa kimya kimya,
na wewe uliyeangalia analiwa ukakaa kimya?
Mabeberu wanakufa kama kuku,watawezaje kutusaidia wakati wameshindwa kujisaidia?
Hebu kwanza wewe sema shida unayoiona,kabla hujaiambia serikali,Labda ningekuuliza wewe nini tofauti yako na kondoo anayekaa kimya huku anaangamia manake wewe unasema tukae kimya huku watu ikiwa ni pamoja na wewe wanaangamia. Mimi angalau nawaambia tusikae kimya tuseme hata kwa kuandika kwa namna ambayo serikali itaona kweli kuna shida, lakini wewe unawaambia watu kaeni kimya?!
Ubaya wa hivyo visiwa ni kuwa wana banana, kovid na hali hiyo dam dam,Kuna visiwa vidogo kabisa vyenye population ya watu laki 5 na vingine 1 milioni kama Zanzibar lakini wameshindwa kuidhibiti corona. Estonia na Iceland wana visa vingi zaidi ya Tanzania (ukweli ni kwamba Tz ina visa vingi sana ila vimefumbwa).
Wapo wachache inamana we hufikirii kabisa!?Walipokuwa na kesi moja tu walifunga viwanja vyote vya ndege za kimataifa ikiwa ni pamoja na meli za abiria. Walifunga miji miwili mikuu kwa mwezi mmoja, hakuna kutoka hakuna kuingia ispokuwa kwa ruhusa maalum.
Baada ya mwezi walikuwa na kesi 16 tu lakini waliongeza kufunga (lockdown) kwa mwezi mmoja tena, sasa sio mikoa miwili tu bali nchi nzima.
Pia tangu mwanzoni kabisa walifunga masoko yote ya kienyeji, bar zote, nyumba zote za ibada na walizuia pombe kuuzwa mahali popote hata kwenye malls kubwa.
Namibia walikuwa wanawapa wananchi wao updates za kila siku za corona hata kama hakuna kesi hata moja. Pia Namibia yenye watu 2.5 million wamepima watu 1,122 wakati Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!
Kesi za korona zilibakia zile zile 16 hata baada ya miezi 2 na ni katika mji mkuu Windhoek pekee. Leo Namibia wameondoa lockdown na wanaendelea na kazi kama kawaida.
Hivi ndivyo wenye akili zao wanavyofanya kazi na kufanikiwa.
Tanzania yenye watu 55 milioni wamepima watu 652 tu!