Jinsi Namibia walivyoikabili corona na leo hakuna maambukizi tena

Namibia ni mafukara wa kutupwa ukitoa jiji lao
 
Chadema ni wavivu wa kazi wanalilia lockdown
Kumbe ndo maana wamefunga mipaka,''the have nothing to loose"
jaribu kumwambia mtu mwenye shamba lake la nyanya au mipapai
inayomwagiliwa kila siku akae ndani uone kama atakuelewa.
 
BASI TUKAE KIMYA TUSUBIRI HIYO MBELENI,KELELE ZA NINI SASA?
 
Ufukara umeongezeka mara mia moja kule
Na ukiwa fukara lazima utekeleze kila unachoambiwa ili mkono uende kinywani,
sisi tuna chakula chetu wenyewe,hata kama mtu hatakuwa na pesa mkononi lakini ana chakula
atadunda tu,watu wasitulazimishe kufuata kila wakitakacho.
 
BASI TUKAE KIMYA TUSUBIRI HIYO MBELENI,KELELE ZA NINI SASA?
Kondoo wengi hufa kwa kukaa kimya. Niliamka siku moja nikakuta kondoo analiwa mzima mzima na mbwa watatu cha kushangaza alikuwa hata halii, niliyosikia ni milio isiyo ya kawaida ya mbwa na sio kondoo, maskini...ndivyo tulivyo watanzania.
 
Kondoo wengi hufa kwa kukaa kimya. Niliamka siku moja nikakuta kondoo analiwa mzima mzima na mbwa watatu cha kushangaza alikuwa hata halii, niliyosikia ni milio isiyo ya kawaida ya mbwa na sio kondoo, maskini...ndivyo tulivyo watanzania.
Ulimsaidiaje?
Nini tofauti yako na kondoo aliyekuwa analiwa kimya kimya,
na wewe uliyeangalia analiwa ukakaa kimya?
Mabeberu wanakufa kama kuku,watawezaje kutusaidia wakati wameshindwa kujisaidia?
 
Ulimsaidiaje?
Nini tofauti yako na kondoo aliyekuwa analiwa kimya kimya,
na wewe uliyeangalia analiwa ukakaa kimya?
Mabeberu wanakufa kama kuku,watawezaje kutusaidia wakati wameshindwa kujisaidia?
Labda ningekuuliza wewe nini tofauti yako na kondoo anayekaa kimya huku anaangamia manake wewe unasema tukae kimya huku watu ikiwa ni pamoja na wewe wanaangamia. Mimi angalau nawaambia tusikae kimya tuseme hata kwa kuandika kwa namna ambayo serikali itaona kweli kuna shida, lakini wewe unawaambia watu kaeni kimya?!
 
Hebu kwanza wewe sema shida unayoiona,kabla hujaiambia serikali,
jiulize swali rahisi,na wana jf tujiulize kwa pamoja
Ni majirani zako wangapi waliougua korona au wa mepona au kufariki?
ukiondoa habari tunazoziona mitandaoni na watu maarufu tuliotangaziwa vifo vyao
bila kujua walikuwa wanaumwa nini. Ukipata jibu ndo ujiulize je? ni kweli nina sababu ya kutangaza kwamba hali ni mbaya au woga tu?
Si ajabu wewe ni miongoni mwa wanaume wa Dar,ukiambiwa
vijana wanaojiita mbwa mwitu wapo mbagala,wewe tandika unakimbia nusra uvunjike kiuno.
 
Kuna visiwa vidogo kabisa vyenye population ya watu laki 5 na vingine 1 milioni kama Zanzibar lakini wameshindwa kuidhibiti corona. Estonia na Iceland wana visa vingi zaidi ya Tanzania (ukweli ni kwamba Tz ina visa vingi sana ila vimefumbwa).
Ubaya wa hivyo visiwa ni kuwa wana banana, kovid na hali hiyo dam dam,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wachache inamana we hufikirii kabisa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…