Kwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.Mradi wa ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo ilikuwa uwe moja ya flagship kubwa sana ya Belt and Road ya Wachina hapa Africa. Lakini kwa sababu amabzo hazieleweki hadi leo bandari haikujengwa ingawa serikali ilishaingia harasa kullipa watu fidia.
Kwenye video fupi hapa chini jamaa anaelezea mfano wa nchi ya Africa MAgharibi na kuonesha jinsi West wanavyofanya kuhujumu miradi kama hii inayofanywa na Wachina hapa Africa.
Viongozi wetu lazima wajiongeze maana kadri tunavyotaka kujikomboa kiuchumi wao wanabuni mbinu mpya za kutuhujumu ili tusiweze kuendelea.
Wanaoanza kuingizwa kingi ni viongozi na taasisi za usalama kwa ujumla hawa wagonga nyundo wanakuwa wa mwisho kabisa kwenye utekelezaji. Hata ukiwateka ni kuwaonea tuKwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.
Ni kupoteza muda bure kuwahujumu watu wasio na akili.Mradi wa ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo ilikuwa uwe moja ya flagship kubwa sana ya Belt and Road ya Wachina hapa Africa. Lakini kwa sababu amabzo hazieleweki hadi leo bandari haikujengwa ingawa serikali ilishaingia harasa kullipa watu fidia.
Kwenye video fupi hapa chini jamaa anaelezea mfano wa nchi ya Africa MAgharibi na kuonesha jinsi West wanavyofanya kuhujumu miradi kama hii inayofanywa na Wachina hapa Africa.
Viongozi wetu lazima wajiongeze maana kadri tunavyotaka kujikomboa kiuchumi wao wanabuni mbinu mpya za kutuhujumu ili tusiweze kuendelea.
Nani ana stahili kutekwa na kwa sababu gani ?Kwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.
Wana ingizwa kingi na nani ?Wanaoanza kuingizwa kingi ni viongozi na taasisi za usalama kwa ujumla hawa wagonga nyundo wanakuwa wa mwisho kabisa kwenye utekelezaji. Hata ukiwateka ni kuwaonea tu