Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni hvyo nyie wanawake mbona huko mbugani wanyama wanaishi kwa kusaidiana mfano mzuri Simba ..kwenye mawindo Simba jike ndo anawinda zaidi ,.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndio nakuwa nabofya kitufe cha pause kila wazo la kuoa linapokuja kwa kichwa!
 
Mkuu nimekuelewa Sana Naomba ukipata time uje na uzi wa jinsi ya kuishi na mwanamke na mada ijikite kwenye (smartness na sharpness)
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli kabisa asee unanikumbusha ile ndoa ya mbasha na mkewe dzain kama story zinafanana hv
 
mabeste naye anazingua,utasikilizaje ushauri wa mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ww ukiwa huna Kaz n sawa kabisa unachanua kyaja sebuleni ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
. Mkuu umemaliza kila kitu [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] siongezi comment ingine kwenye huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusikiliza interview ya huyu dada nimeprove vitu fulani kutoka kwake

1. Ana busara

2 ana sifa za kuwa mke hasa kitendo cha kumfichia siri aliyekuwa mume wake

3. Uvumilivu

4 she so matured


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nlikua nsicomment Tena Ila kwa upuuzi ulioandika hapa ..dah umeonyesha jinsi gan ulivyo empty kichwani Yan umesikiliza interview tayar ushamuamini dah hatar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzee umeshaoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hajawahi kuumwa huyo dem ile ilikuwa ishu ya kupiga pesa mi nawafaham kinaga ubaga....naomba niishie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…