Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Kasikilizeni interview hiyo, acheni kufanya judgement kabla hamjasikiliza kesi.

We jamaa unaakili ya kipumbavu sanaa.. Kwa hiyo utetezi wa huyo dada umekufanya umfutie makosa yake.. Yani mke wa ndoa unaachana na Mme wako. Tena ndoa ya kikristu kisha unaenda kuishi na rafiki wa mume wako. Aisee

Nimeacha kumwona fala huyu dada. Kwa sasa nakuona wewe..
 
Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni kweli kabisa. Nina brother yangu.... Yeye anakwambia anadeal na issue za watoto directly. Na anapokwenda kumlipia ada anamuonyesha kabisa kuwa ni yeye kalipia..... Na mtoto anapokuwa na shida anazungumza nae na akimpatia pesa anampa mkononi kabisa.....

Ila sijui ni kwann wanawake huwa wanakuwa selfish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.

Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.

Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.

Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.

Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.
Kwahiyo tunaingia kwenye ushirikina tena kuwa alilogwa.... Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi vijana wengi kusimamia familia hatuwezi sababu ya anasa na kujipenda kulikopitiliza kunakoleta ubinafsi ndiyo maana mjini unaweza kuta mbaba in his 50's amevaa rafu na sendo chini muda wote yupo busy ila ukienda home mke wake anafaidi anasukuma range na watoto wanasoma na mahitaji wanapata kwa wakati.... Ila kijana bado hajanunua kipochi cha gucci sijui raba kali mara ashinde saloon kuweka kijogoo. .its sad

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo anasukuma range na watoto wanakula good life halafu baada ya muda unakufa kwasababu ya kubebelea mastress ya maisha pekee yako na mwisho wa siku mkeo anatumbua mali na watoto akiwaambia yeye ndio alifanya mfike hapo mlipofika.....

Aaaaah weeee me sifanyi huo upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ina maana huyu dada alimkuta Mabeste hana shughuli au? Kama alimkuta na shughuli now mambo yamekwama anamkosea sana. Naona namna mambo yakiyumba sana mwanaume akikosa kipato kuliko wanawake. Huwezi kusikia mwanaume akisema nimemuacha sababu nilikuwa namlea.

Wadada wa siku hizi pamoja na kuelimika wamekuwa tegemezi zaidi kuliko mama zetu wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa boob

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tunapoongelea kuhusu wazazi wako ....hapo tunazungumzia Generation nyingine kabisa tofauti na hii generation ya kizazi cha sasa ambacho kilianzia mnamo miaka ya 80 kuja Juu mpaka miaka ya 2000.... Generations hizo tajwa ni disaster especially katika masuala ya mahusiano na Nidhamu ya maadili katika hili taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Very very very true mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why you dont trust her wakati katoa na ushahidi mfano alipozungumzia kuhusu ndugu wa mume wake kutohudhuria ndoa video zipo na ni kweli hawaonekani ndugu wa mume wake wewe huwezi kuona ni indication tosha kuwa ndugu wa mshikaji hawakumtaka huyu demu

Tusipende ku judge vitu kwa mihemuko interview ya Mabeste nimeisikiliza ukiwa makini unaona kabisa ni kama kuna vitu anaficha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila sasa ndugu wanahusianaje?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeste ana mapungufu yake, ila yule mwanamke sio Malaika.

Kitendo cha kuchukuliwa tu na Rafiki yake Mabeste kimemtia doa.

Sisi wastaarabu tunasema ushemeji haufi.

Na swala la kuongelea ushirikina tu, nimemuoana wa ajabu sana.
My point exactly, mwanamke wa kisasa unajiridhishaje na fikra za ushirikina.... Kuna magonjwa ukienda hospital huwa ni ngumu kuwa detected hadi baada ya muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
100% true, ukiwa na hela atakuambia kwa nini upo bize hutengi muda wa kuzungumza na mimi. Ukiwa huna hela unakuwa nae karibu atakuambia, hebu angalia wanaume wenzio walivyo bize kuwatafutia wapenzi wao, wewe mwanaume suruali

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke asikutoe katika ramani ya utafutaji, akikwambia upo busy haupati muda nae mwambie akatafute wasio busy ili wampe huo muda.. Au kaa kimya usimjibu..... Ni upuuzi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwamba,
Umeingiza hisia hapa.
Sikoliza interview zao zote ukianzia na mama, mpaka part 4. Utaelewa mchongo mzima.

Nimegundua wanaume wengi apa tunaside kwa hisia baada ya kujifikiria sisi katika viatu vya msela. Tumekiwa wepesi wa kuhukumu. Labda nkupe summary kidogo;

1) Ule msaada alokuwa anaomba mabeste wa mgonjwa, alikuwa anaandika mama maana mwamba ana pride mno. So ilikuwa ni mama anaomba msaada kupitia fun base ya msela.

2) Aliyeanza kutoa vitu vya ndani ni jamaa. Mama alikuja baada ya kuona msela anamchafua mno. Kaja kuweka recodi sawa, na sawa kaweka kweli.

3) Mama ana moyo wa ajabu mno. Ukicheki utagundua alikuwa mvumilivu sana. Sio jambo dogo kukaa na wakwe ambao hawakutaki. Kuoingwa na mawifi. Sio jambo jema umeolewa alafu familia inakupiga tafu we na mumeo na mumeo ana miguu na talent na anatoka kila siku.

4) Siamini kabisa kwenye spirituality na whatever ila alikuwa sincere kweli na hili jambo kwamba wakwe ndio walikuwa wanamtengeneza kiafrica. Either ni kweli ama uongo, yeye hakuwachukia. Wala akumchukia msela.

Mnataka wale wanawake wa miaka ya 60 ? Wanasema;
“Women of this age did not inherit the silent of their mothers”
Basi ndio wanatengeneza breed mbaya ya wanaume ambao watakuja kuwa treat vibaya kuliko maelezo.. Sisi akina mume mwema ndio tunaishia hivyo.... Tusubirie tu muda utaanza kuwapa majibu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ka lisa ni kadem kapenda mteremko mabeste ni mwanaume mpenda kazi laini za pesa nyingi

sasa wamekutana huyu anamvizia mwenzake na kule mabeste nae anavizia kazi laini ambapo kila day

akawa hazipati matokeo akawa anakaa hapati pesa ya kuweka heshima home kama baba.

ka lisa kamesoma upepo kameona hapa hapaendeki,kakajumlisha na vikasoro vya mabeste ambavyo kila

mwanadamu anavyo ka dada ka watu kaka finalize kuwa "hapa nibwage nyanga tu" hamna jipya.
Very true

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na assume mabeste alikua hawajibiki ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana matatizo ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana michepuko ktk ndoa
Na assume mabeste alikua mvivu,mlevi,nk ktk ndoa
Na assume mabeste alikua na makosa 98% ktk ndoa

SWALI:

Alichofanya huyo mwanamke before breakup,tuweke hilo la recording tu

mambo ya ndani ya familia na kuyahifadhi,ilikua ni akili au ushuzi wa popo?
Hivi popo kumbe wanajamba pia?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwacheni Lisa ale uzazi bhana, sasa kama mwanaume alishindwa kusimamia nafasi yake ye angefanyaje.
Mwanaume kwelikweli unaetambua nafasi yako mwanamke hawezi kukuacha kizembe, ukitaka improve hili waulizeni wale wanaume ambao wake zao wako tayari kupigania ndoa zao hata kwa mtutu

Cc Equation x 💯✔
 
Na assume mabeste alikua hawajibiki ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana matatizo ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana michepuko ktk ndoa
Na assume mabeste alikua mvivu,mlevi,nk ktk ndoa
Na assume mabeste alikua na makosa 98% ktk ndoa

SWALI:

Alichofanya huyo mwanamke before breakup,tuweke hilo la recording tu
mambo ya ndani ya familia na kuyahifadhi,ilikua ni akili au ushuzi wa popo?

Nimeondoka na maneno matatu ya mwisho mkuu hahahaha
 
Mwacheni Lisa ale uzazi bhana, sasa kama mwanaume alishindwa kusimamia nafasi yake ye angefanyaje.
Mwanaume kwelikweli unaetambua nafasi yako mwanamke hawezi kukuacha kizembe, ukitaka improve hili waulizeni wale wanaume ambao wake zao wako tayari kupigania ndoa zao hata kwa mtutu

Cc Equation x [emoji817][emoji818]
Poa natumemuacha ale uzazi vizuri. Ila kila mbwa ana siku yake.....

Moja ya miiko ya ubinadamu ni kumuumiza mwingine hisia bila ya kumpa nafasi ya kujitetea.

Huyo mabeste amekubali kuumia na sasa anableed damu ndani kwa ndani kwa maumivu anayoyasikia. Hivi unadhani kuna usalama hapo?! Umuumize mwenzako kwasababu za kibinafsi then uje kuwa na baraka huko uendako.... Nooo way. MUNGU yupo na anatoa haki.

Kama yeye aliona ni haki kumuacha mwanaume aliyejiapiza kumpenda na wakapata watoto pamoja leo anamtreat kama takataka then tutaona labda jina lake la mwisho liwe MUNGU.....


Mabeste jembe langu, popote ulipo, uvumilia maumivu jembe, najua umeumia kuona mwanamke aliyejinasibu kukupenda milele hata iweje na mkapata watoto wawili wazuri sana, kaamua kukatisha safari ya penzi lenu na kwenda anzisha safari mpya na mtu mwingine tu kwasababu haupo vizuri kiuchumi kwasasa, na mbaya zaidi ni mtu anaekufahamu na mnajuana na pengine anajua historia ya mahusiano yenu. Na leo kukutukana kabisa anakupostia picha ya mtoto aliyezaa nae katika tumbo la uzazi lile lile alilobebea watoto wako. Inauma sana....

Mimi personally kama mwanaume nimeumia sana kuona kichotokea aisee inauma sana.... Pole sana jembe.... Ipo siku haki yako itakufikia....... Maumivu huwa hayadumu ingawa ni makali. Jikaze bro.... Jikazee sana usikate tamaa.... Tunaumia pamoja... Na ninafeel maumivu yako.... Pole sana jembe langu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa natumemuacha ale uzazi vizuri. Ila kila mbwa ana siku yake.....

Moja ya miiko ya ubinadamu ni kumuumiza mwingine hisia bila ya kumpa nafasi ya kujitetea.

Huyo mabeste amekubali kuumia na sasa anableed damu ndani kwa ndani kwa maumivu anayoyasikia. Hivi unadhani kuna usalama hapo?! Umuumize mwenzako kwasababu za kibinafsi then uje kuwa na baraka huko uendako.... Nooo way. MUNGU yupo na anatoa haki.

Kama yeye aliona ni haki kumuacha mwanaume aliyejiapiza kumpenda na wakapata watoto pamoja leo anamtreat kama takataka then tutaona labda jina lake la mwisho liwe MUNGU.....


Mabeste jembe langu, popote ulipo, uvumilia maumivu jembe, najua umeumia kuona mwanamke aliyejinasibu kukupenda milele hata iweje na mkapata watoto wawili wazuri sana, kaamua kukatisha safari ya penzi lenu na kwenda anzisha safari mpya na mtu mwingine tu kwasababu haupo vizuri kiuchumi kwasasa, na mbaya zaidi ni mtu anaekufahamu na mnajuana na pengine anajua historia ya mahusiano yenu. Na leo kukutukana kabisa anakupostia picha ya mtoto aliyezaa nae katika tumbo la uzazi lile lile alilobebea watoto wako. Inauma sana....

Mimi personally kama mwanaume nimeumia sana kuona kichotokea aisee inauma sana.... Pole sana jembe.... Ipo siku haki yako itakufikia....... Maumivu huwa hayadumu ingawa ni makali. Jikaze bro.... Jikazee sana usikate tamaa.... Tunaumia pamoja... Na ninafeel maumivu yako.... Pole sana jembe langu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana mkuu kwa maumivu pole pia kwa kumsaidia mabeste maumivu
Ila hili liwe funzo kwa wanaume wengine na kwetu wazazi wenye watoto wakiume tuwalee tukiwakumbusha kuishi na mwanamke yawapasa kufanya kazi, kulea familia na kutumia akili.

Mabeste anatia huruma sababu lisa ameamua kumove on lakini yote hayo ni sababu alilegea mnoo, kweli kwenye ugonjwa walihitaji msaada na walipata, lakini kweli mwanaume unalala ndani miaka bila kujua familia inaishije? Bahati mbaya sana sio asili wala imani zetu zinashabikia mwanaume kuwa legelege
Cc Equation x
 
Ni rahisi mtu kumove on na kusahau kirahisi kama utakua hauoni kinachoendelea kwenye sidelife ya mwenzio mlieachana

Mabeste inakua ngumu ku move on na kusahau kwa sababu ya pressure za mitandaoni na tayari aliekua mkewe yupo kwenye spotlight, it means hapo kila siku anakutana na mapya ya walimwengu

pia inaonekana bado hajakaa financially fit,at least pesa ingekua inaflow vizuri ingempoza kwa namna fulani.

na watoto pia wanachangia kumfanya asisahau haraka ..akiangalia picha za wanae anakumbuka some moments ...Sema jamaa apambane tu na hali manake ndo uanaume huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom