Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Nilicomment bila kutazama interview, nimetazama na nafuta baadhi ya kauli zangu. Nimemuamini Lisa kwa 85% maana jinsi anavyozungumza kwa uchungu na jinsi anavyo flow matukio inaelekea kaumia sana.
Nilicomment bila kutazama interview, nimetazama na nafuta baadhi ya kauli zangu. Nimemuamini Lisa kwa 85% maana jinsi anavyozungumza kwa uchungu na jinsi anavyo flow matukio inaelekea kaumia sana.
Kabisa nimekurupuka kama braza K na pia kutokana na experience yangu nikataka utitumia ispohusikaAisee, unaweza kuona ni kwa kiasi gani wakati mwingine tunahukumu bila kusikiliza.
Kabisa nimekurupuka kama braza K na pia kutokana na experience yangu nikataka utitumia ispohusika
Me nimeangalia part 1 pekee nikacomment before sijamaliza part 2, 3 na 4 kwa kwel leo nimeangalia part 2 na 3 bila hata kuangalia part 4 maswali yote niliyojiuliza huyu binti kanijibia kwenye part 2 na 3 from now natangaza nipo upande wa Lisa mwanzo nilikosea.Na ukijaribu kuangalia michango ya wadau humu, utaona kwamba wengi wana judge kwa kutumia uzoefu. Siyo kwamba wamesikiliza.
Me nimeangalia part 1 pekee nikacomment before sijamaliza part 2, 3 na 4 kwa kwel leo nimeangalia part 2 na 3 bila hata kuangalia part 4 maswali yote niliyojiuliza huyu binti kanijibia kwenye part 2 na 3 from now natangaza nipo upande wa Lisa mwanzo nilikosea.
Mabeste kaanza kufunguka baada ya mkewe kufunguka Sana Kama mkewe asingefanya ile interview sizani Kama mabeste angefunguka.
Panatuhusu ndo nimekujibu inategemeana hekima na uvumilivu wa mkeo,Sawa vipi kuhusu lile agano la kuishi kwa shida na raha!??
Ama pale kwenye raha tu ndipo panapowahusu!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina muhongo mmoja kwenye hiyo taasisi vipi una lingine?Una vitu vingi vya kujifunza Kwenye ndoa unaonekana bado mchanga.
Wa kwanza kufanya interview ni mabeste,kafanya kama tatu ivi ya mkewe imerushwa jana nahisi..Mabeste kaanza kufunguka baada ya mkewe kufunguka Sana Kama mkewe asingefanya ile interview sizani Kama mabeste angefunguka.
Hapo utapata taabu kuwaelezea[emoji23][emoji23],watu hawajasikiliza interview uyo dada alikuwa mvumilivu kupitiliza had kaamua kujitolea mahari ya uongo uongo,Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.
Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.
Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.
BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Sijui kwa nini? subiri ukioa ndipo utajua!!Binafsi nilipenda ndoa yao na wote nimesikia interview zao ila kwa upande wa mabeste hajafunguka Kama mke wake so sitaki nikae kwenye upande fulani cos sijajua mkewe Lisa aliyoongea ni kweli au la! Cha msingi ni vizuri Lisa angevunga au kukaa kimya ili kulinda jina la mabeste kingine mnapofunga ndoa kunakuwa na kiapo kinachosema hasa kwa kikristo tutapendana kwenye shida na wakati wa Raha naonaga hiki kipengele akitekelezwi sijui kwanini?
Bora[emoji23][emoji23][emoji23]mm nmeitazama hata kama unasingiziwa sio vile aisee,
Alaf Na marafik pia marafik zake watu Wa bata ndo maana alikuwa hatak mwanamke ashike mimba,
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihiKuna ukweli katika usemacho!! Tamu ukimpata mtu ni tamu haswaa!! Ila ukikosea ni changamoto kwa kweli!! Tena changamoto kubwa!
Yoote haya si tunayaona kwa ndugu,jamaa na marafiki!