Jamii haijawasaidia inabidi watumie mitandao kuonyesha maumivu yao. Zamani mambo kama haya watoto wanaitwa wanakanywa na kuelekezwa na wakubwa. Siku hizi wazazi wanaishi tu wapo wapo wanaacha vijana na matatizo yao badala ya kuwapa sapoti.Hawa wote wawili ni wapumbavu. Hizi interviews zote zimerekodiwa na zitadumu milele. Watoto wao wataandamwa na maneno na matendo ya wazazi wao, na watakuja kuangalia na kusikia upumbavu wao milele.
They did what they felt they had to do but, at a very high cost: their children's future psycho-social well-being. That's very selfish and immature of both of them as parents. Huyo mwanamke going on and on in detail about their private life: tribulations, ups and downs, shenanigans and whatnot, many times unsolicited by the Interviewer, it's all so unbelievable and sickening to listen to.Jamii haijawasaidia inabidi watumie mitandao kuonyesha maumivu yao. Zamani mambo kama haya watoto wanaitwa wanakanywa na kuelekezwa na wakubwa. Siku hizi wazazi wanaishi tu wapo wapo wanaacha vijana na matatizo yao badala ya kuwapa sapoti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa sio wanawake woteLabda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfaham vipi baba yake mabeste[emoji23][emoji23],
Una uhakika mabeste alikuwa anajituma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.
Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.
Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.
Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.
Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.
Sasa unavuka mpaka...acha kututusiMabeste alikuwa Marioo.
Kazi hafanyi, muziki hafanyi. Yuko Busy na media tu na neno 'Nakupeoda, Nakupenda'
Does the word Nakupenda pay bills ?
Hivi Mabeste huwa ni mchagga ?
Miaka ya karibuni vijana wa kichagga wamekuwa ma-marioo wa kutosha.
Wengine wanaolewa Ulaya wengine Bongo !
Daaah
Labda yalikuwa maigizo ili watu waguswe ila demu alikuwa fit hadi kuandaa events.Eatv walionesha live kupitia planet bongo. Mpaka home..
Huyu Dada alikuwa kalala tu hata kuongea hawezi dulla anampa pole hata kuitika kwa kichwa alishindwa achilia mbali kuongea..!
Sasa hivi eti anasema yeye ndo alipanga event, matamasha ya kuchangisha pesa mpaka akapona..! Duh
Labda yalikuwa maigizo ili watu waguswe ila demu alikuwa fit hadi kuandaa events.
Bongo Dar es Salaam.
Ule nimpango walipanga watu wameliwa pesa zao.
Kuona kichina!!! What do you mean?
Hakuna kitu kama hicho Lisa mzee wake ni Mwarabu wa Tanga na Mamaake mchaga..Huyu dada Lisa Karl Finckenscher baba yake alikuwa yule mzungu Mmarekani Karl Finckenscher mwakilishi wa USAID enzi za JK?
Kuona kichina!!! What do you mean?