Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Sijasema hajui Muziki. Nazungumzia kufanya kazi.

Kwani Ben Pol hajui Muziki ?

Sasa ni nini kinakufanya uache kazi inayokuingizia kipato halafu uwe full tegemezi kwa mkeo ?
Ona sasa yani Ben Paul naye ni msanii?
Bwahahahaha😝 sikilizeni muziki aisee muujue vyema
 

Yaani umegonga mule mule... Nawashangaa sana wanaume wanaosema eti nioe mwanamke mwenye kazi tusaidiane majukumu... Kujitakia matusi ya rejareja tuu.
 
Ahahah..
Ni kwel kabisaa kaka.
 
Sawa mabeste
 
Hahaha hajawahi kuumwa huyo dem ile ilikuwa ishu ya kupiga pesa mi nawafaham kinaga ubaga....naomba niishie hapo

Huyu manzi namsoma na ni mwanangu sana na nimesoma nae primary , pesa mbele mzee , tunaomjua tutasema hvyo ila huko ndoan sijui ila kama pesa mbele basi unaruka nae , si mgumu kabisa
 
Point no2

kelphin kepph
 
Kwani wewe ndiye huyo Lisa?. Unatumia nguvu kubwa sana kutuaminisha kuwa MABESTE ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…