Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Huyu ni zaidi ya mjinga
Mfano huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano huyu jamaa
Nyie endeleeni tu kumpa kiburi mangungo siku tutakapo mletea Dr. Yahaya atajuta kuzaliwaMsituingize Yanga kabisa, pambaneni na hali yenu. Mangungu baba shikilia hapohapo...
Na nyie mliitwa manyani na mammbwa!Denial....ndo maana mliitwa mbumbumbu
Kama wewe ulivyo na sura ya nyani iliyochanganyikana na ya mbwaHuyu ni zaidi ya mjinga
InasikitishaHuu sasa ndio umbumbumbu wenyewe mlio nao
SanaInasikitisha
Nataman ungekuwa mke wanguMsituingize Yanga kabisa, pambaneni na hali yenu. Mangungu baba shikilia hapohapo...
Tumwambie Max atufungishe, ndoa faster hapa...Nataman ungekuwa mke wangu
Hahahahaha kwamba max ndio padre au sheikh ?Tumwambie Max atufungishe, ndoa faster hapa...
Tunafunga ndoa kwenye nyumba yake 😅😅😅 anatoa baraka.Hahahahaha kwamba max ndio padre au sheikh ?
Hahahahaha....safi sana kama atahitajika shahidi nipo tayariTunafunga ndoa kwenye nyumba yake 😅😅😅 anatoa baraka.
Kaka yangu na rafiki wa dhahabu kabisa. Nakuaminia ngoja bwana harusi aje, weekend ndiyo hii ndoa tunayo 😍Hahahahaha....safi sana kama atahitajika shahidi nipo tayari
Hamna akili nyie yanga ndiyo waliowachagulia mangungu au ninyi wenyewe kwa utashi wenuSimba kwa sasa tutaona kila rangi.Utawala wa yanga umeimarishwa hadi kwenye safu ya uongozi wa Simba.
Malengo yao ya kimpira yanatimia huku malengo ya kisiasa ya wanaotumiwa yanatimia lakini kuna mwanga unaonekana kwa wapiga dili ( opportunists) kama akina Kigwangala ambao wameanza kutupigia hesabu za matikiti maji.
Agenda za yanga dhidi ya Simba,mangungo anazitekeleza vizuri sana ikiwa ni pamoja na kudhoofisha timu kwa kuwagawa wachezaji ili yanga iipiku Simba.
Mangungo yupo sana Simba kwa kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kisiasa huku akitekeleza maelekezo yanayokuja na bahasha kutoka kwa maguru ( walio na wanaofaidika na pesa za wizi serikalini) mashabiki wa upande wa pili.
Vita ya Simba ni ngumu sana kwa vile walio ndani ni mamluki na ndio wanamsaidia adui wakati wakitimiza malengo yao.
Walitakiwa wote waachie ngazi,waiache timu ianze upya na uongozi wa muda
Hahahahahaha, safi sana kwakua ndio weekend hii acha niwaandalie zawadiKaka yangu na rafiki wa dhahabu kabisa. Nakuaminia ngoja bwana harusi aje, weekend ndiyo hii ndoa tunayo 😍
OkNa nyie mliitwa manyani na mammbwa!