Jinsi nilivyo bambikwa Kesi ya Ubakaji mwanafunzi Wilayani Nzega

Jinsi nilivyo bambikwa Kesi ya Ubakaji mwanafunzi Wilayani Nzega

The Don[emoji1787], Mimi naamini kwa pesa ulizonazo sasa hivi hao watoto hata kama sio wako unaweza walea
 
Aaaah mwanamuziki msomi kama wewe siamini kama unaona kufanana ndiyo undugu ujue we ni msomi mkubwa sana. Umefundisha miaka mingi naamini huwezi kutumia sababu ya kutofanana ndiyo siyo wanao.

Halafu hawa Usalama wa Taifa naona wanakufuata fuata sana tangu kipindi kile ulipotaka kuteuliwa kuwa balozi.
Wewe huyu jamaa sio mzima. Tuulize sie tuliokaa naye jirani hapa Mwanza.
 
Back
Top Bottom