Jinsi nilivyoanza safari ya kutengeneza video games

Jinsi nilivyoanza safari ya kutengeneza video games

alvin95

Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
6
Reaction score
24
Nilipokuwa mdogo nlipenda sana game nilikuwa nkiona computer nachanganyikiwa kinachonijia akilini ni game kipndi kile nlikuwa sina uwezo wa kumiliki computer, washkaji zangu walipo kuja kuwa na computer nlitumia computer zao kucheza sana game mpk nilipo kuja miliki PC yangu, siku rizika nilianza kupekua pekuwa jins gan video game zinatengenezwa.

Nilikuwa nkijiulza sana maswali nilienda YouTube nkaangalia wanavo tengeneza nlipoona jamaa anaandika vtu avieleweki km codes skujua ni nni kile anafanya ndipo nkaacha kufuatilia

Nilipo faulu advanced nilichangua kusoma IT nikiamini ipo sku natengeneza game langu. Nlipoenda chuo mwaka wa kwanza sikujua kuna kitu knaitwa programming. Ilikuwa ni kitu kigeni ndipo nikaaza fuatilia programming ni nini, nilitafuta pia ni vitu gani unaweza fanya na programming niliona unaweza kutengeneza games.

Haikuwa rahisi mara ya kwanza nakutana na programming tena chuo, lakini huwa sina tabia ya kukata tamaa kirahisi nilipambana ivo ivo mpk nkaanza kujua. Nilitafuta mpk muda wa ziada, usku silali kujisomea ili tu nijue programming vzuri nilifanikiwa ikafika kipind naweza andika code bila kurefer sehemu na kusolve problems baada ya kujifunza data structure and algorithms

Nilirudi tena kwenye video games kufuatilia jins ya kutengeneza nilianza fuatilia video za jamaa anaitwa brackeys YouTube nazani ndo jamaa maarufu kwa sasa kwenye tutorials za Unity

Pia nilifuatilia chanel ya code monkey na kusoma UNITY documentation na kugoogle

Pia niliingia forum ya quora kutafta ushauri wa experts kuona jins gan naweza anza kutengeneza video games wengi walisuggest UNITY 3D ndo nzuri kwa beaginers

Nilianza tumia UNITY kutokana na skills zangu za programming in OOP nlianza elewa unity kwa mda mchache uku nikifuatilia tutorials na documentation za unity

Nikafanikiwa kutengeneza game moja la hill racing 2D ambalo bado sjali upload playstore nimelia attach video hapa.
video hiyo ni ya mda ila nme update game

Pia bado naendelea kujifunza kwani mpk sasa nimeshatoka level ya ubeginer

Natamani siku moja uku Tanzania tuwe na game studio zetu na tengeneze game zetu wenywe na kuziuza kwani game indusry inalipa sana

 
Kama ndio hilo hongera ila bado una safari ndefu sana. Ila nikupe kongole kwa kujaribu.

Unajua hivi vitu huwa havikamilishwi na mtu mmoja. Inatakiwa muwe team. Ningekushauri ujaribu kutafuta wenzio ambao mna ndoto zinazoendana. Mkifanikiwa hii idara inalipa.
 
Kama ndio hilo hongera ila bado una safari ndefu sana. Ila nikupe kongole kwa kujaribu.

Unajua hivi vitu huwa havikamilishwi na mtu mmoja. Inatakiwa muwe team. Ningekushauri ujaribu kutafuta wenzio ambao mna ndoto zinazoendana. Mkifanikiwa hii idara inalipa.
Yah safari bado ipo saivi nafocus kweny kujifunza kwanza kuusu team nataka kwanza nijuwe na experience ndipo nitafute wengine ambao wapo experience pia.

coz unajua mkifanya project alf wote ma beaginer mwsho wa sku mnakuwa wababaishaji nimesha kutana na hizo scenario
 
hongera, haihitaji game liwe na graphics kali sana na vitu kibao ili libambe, nakimbuka mbietnam flani hivi alitengeneza game ya flappybird ya kawaida sana aliingiza pesa nyingi sana alipolipwa na google adsense
 
Ckuzote huwa najiuliz hv ile D ya mathematics inayo hitajka ili kujiunga na IT Kwa anae toka A-level huwa ni lazima iwe ya Advanced mathematics au hata BAM..?




nangojea majibu yenu wajuzi..
 
Ckuzote huwa najiuliz hv ile D ya mathematics inayo hitajka ili kujiunga na IT Kwa anae toka A-level huwa ni lazima iwe ya Advanced mathematics au hata BAM..?




nangojea majibu yenu wajuzi..
hata bam maana ata alie soma hkl anasoma IT wanataka credits za O level za hesabu na english
 
hata bam maana ata alie soma hkl anasoma IT wanataka credits za O level za hesabu na english
Si wana semaga ukitaka kusoma hadi kupata Bsci in Information technology kwa ambae ametokea Advance analazimika kuwa na D,ya physics na Mathematics. na kwa Diploma ni ujue kusoma na kuandika tu na uwe na cheti cha form four... au hakuna ukweli juu ya hili?
 
Si wana semaga ukitaka kusoma hadi kupata Bsci in Information technology kwa ambae ametokea Advance analazimika kuwa na D,ya physics na Mathematics. na kwa Diploma ni ujue kusoma na kuandika tu na uwe na cheti cha form four... au hakuna ukweli juu ya hili?
D ya Advanced mathematics siyo BAM.
Baadhi ya vyuo inachukua mtu yeyote mwenye D mbili za masomo yoyote ya sayansi kwa A-level.Siyo lazima ya Advanced/maths(baadhi ya vyuo).
Karibu kwenye hii taaluma.
 
Haya magem yatawaingizia vp helaa au ndo just fo funny

Soko la game liko huko ughaibuni kwa wenzetu, sasa kama watatengeneza games kali, fikirishi, lenye title nzuri basi wategemee kuingiza dollars hadi wachoke kupitia platforms kama playstore/Samsung Galaxystore/Apple Store .
 
Kitu cha ajabu kwa gamers, game za hivi ndio zinapendwa zaidi duniani.
 
Sorry kwa kwenda nje ya mada kidogo

Kitu kinachonifikirisha sana na kunisikitisha ni kuona matangazo animation ya voda au mitando mingine bado yako low quality and 2D, hiv kweli bongo hii hakuna experts wa animation 3D kali kama animation movie za despicable au frozen kweli?
 
Back
Top Bottom