Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Semaa humu ndani ukifata kila mtu anachosema unapotea mazima...

Nyeto ni mbaya Nyeto inaharibu future za watu... nyeto sio ya kuendekeza

Thamani ya Mwanaume ni nguvu zake mwenyewe

Tunasema wazee wa zaman walikuwa ngangali kwa sababu vitu vingine wao hawakugusa...

Bao moja la nyeto ni ni sawa na kukimbia Kilomita 60 nguvu unayopoteza
Nani kakwambia kuwa walikuwa hawafanyi masterbation? Hii kitu ilianza enzi na enzi na itaendelea mpk mwisho wa dunia. Asilimia 98% ya wanaume wote wameshawahi kujichua kwa kutumia mkono ktk sehemu ya maisha yao hapa duniani.
 
Upigaji wa nyeto ktk karne hii umekithiri sana kutokana na kukithiri kwa picha za ngono almaarufu kama X...na pia uvaaji nguo nusu uchi wa wanawake, stress za kubeti na kutokuwa na pesa ya kuoa mapema/. Kununua makahaba.
 
Kisaidizi cha kwanza cha nyeto ni hisia...ukimvutia hisia mwanamke tu hata kama kavaa gubigubi lazima wazungu waje tu.

Nyeto sio nzuri spiritually inaua moyo, ndio maana ukipiga mara ya kwanza lazima uhisi majuto sana mara baada ya kufika mshindo ila siku zinavyozidi kwenda moyo unazidi kufa na hujutii tena.


Kiafya ni kuwa inapunguza uwezo wa macho kuona vizuri, maumivu sana ya mgongo (chini ya kiuno), upungufu wa kumbukumbu, concentration inapungua, unapoteza kujiamini mbele za watu, huwezi kutizamana na watu macho kwa macho.

Suala la kuwahi kufika mshindo (climax) sidhani kama linachangiwa na nyeto, ni suala la kimaumbile na saikolojia ys mtu, unaweza kupiga nyeto na bado kitandani ukawa unachelewa kumwaga vilevile.
 
Upigaji wa nyeto ktk karne hii umekithiri sana kutokana na kukithiri kwa picha za ngono almaarufu kama X...na pia uvaaji nguo nusu uchi wa wanawake, stress za kubeti na kutokuwa na pesa ya kuoa mapema/. Kununua makahaba.
Hii umenena
 
Kisaidizi cha kwanza cha nyeto ni hisia...ukimvutia hisia mwanamke tu hata kama kavaa gubigubi lazima wazungu waje tu.

Nyeto sio nzuri spiritually inaua moyo, ndio maana ukipiga mara ya kwanza lazima uhisi majuto sana mara baada ya kufika mshindo ila siku zinavyozidi kwenda moyo unazidi kufa na hujutii tena.


Kiafya ni kuwa inapunguza uwezo wa macho kuona vizuri, maumivu sana ya mgongo (chini ya kiuno), upungufu wa kumbukumbu, concentration inapungua, unapoteza kujiamini mbele za watu, huwezi kutizamana na watu macho kwa macho.

Suala la kuwahi kufika mshindo (climax) sidhani kama linachangiwa na nyeto, ni suala la kimaumbile na saikolojia ys mtu, unaweza kupiga nyeto na bado kitandani ukawa unachelewa kumwaga vilevile.
Majuto unahisi wewe mkuu
Sio kila mtu anahisi majuto
 
Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.
Labda kuna namna wanavyonufaika na ule uhai ulipo ndani ya bao unalotoa.

Nimewaza kilokole tu
 
Back
Top Bottom