Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Wengi watapuuza haya na wegine hawatakuelewa..
Kipindi sijaanza ujasiliamali nilikua nasoma mabandiko km haya lkn nlikua siyaelewi... Nilipoanza kufanya ujasiliamali ndo nikaja kuyaelewa haya... Yani ni kama vile imani ya kidini.. Unahitaji chakula cha roho kila siku ili upate nguvu ya kupambana... Barikiwa kila uhemapo(kasoro kuhema hewa chafu tu)
 
Kweli kuna watu wajinga ulimwenguni,mtu kasema ulifuchue id yake kama unamjua,lakini mjinga mmoja anatokeza
 
Nilichopenda zaid ni kitu kidogo tu,,, uliweka elimu yako pembeni ukaamua kupambana na vumbi bila kujali kuoga wala umaridadi mwilin na kichwan,,,,

Naamin kichaa anasifa ambayo tulio timamu tunapaswa kua nayo....
Kichaa hajali kila kitu....
 
Kweli kuna watu wajinga ulimwenguni,mtu kasema ulifuchue id yake kama unamjua,lakini mjinga mmoja anatokeza
Kuna watu ni vichaa kichwani. Jitu pu.mbavu ka hilo usikute labda hata alikua anatafuta likes, au anatafuta njia ya kutapeli watu.
 
Asante sana nimejifunza kitu mkuu Mimi nna usemi wangu kwamba tamu ilianzia kwenye uchungu..
 
Wewe ni muongo hicho kipaji chako cha kutunga history za uongo kipeleke grobal publisher watakusaidia
Hata kama ni muongo ila kuna kitu umepata hapo endelea kusema ni uwongo mbona hatavitabu ziko fictional nyiiing ila zinasaidia watu hebu tuandikie na we we ukwl wako mkuu kama huyu ni mwongo watu wengine bwana akajisemea MTU mmoja masikini utamjua kwa mwandiko wake tu
 
Iko hivi Dinazarde.

Sijasoma hadi mwisho lakini hiyo ni cryptocurrency ama kwa lugha raisi ni digital money, mfano mzuri ni bitcoin ambayo juzi thamani yake iliizidi thamani ya dhahabu katika soko la kimataifa.

Mimi nakushauri usiwekeze pesa yako kwa hao vibaka, naeza sema vibaka kumaanisha scammers. Kwasababu zifuatazo;-

1. Cryptocurrency yoyite lazima iwe standardised kimataifa, yani mfano mzuri ni ukitaka kununua whitedent original lazima iwe imepita TBS. Sasa digital currency yoyote lazima ithibitishwe na CCSS - CryptoCurrency Security Standard. Sasa hao hawana hiyo kitu.

2. CryptoCurrency nyingi huwa ziko devalued, yani hazina thamani. Hapo sijui wamesema thamani yake ni kiasi gani, lkn nafahamu by any means hiyo thamani itakuwa ipo overrated. Kwamba hata ukiinunua leo unaweza kukaa miaka 50 haijafika thamani halisi uliyoinunua.

3. Uimara wa fedha. Sithani hiyo currency iko imara kiasi cha kuweza kuappreciate with time. Sioni hiyo coz ni imekaa kilocal local.

Kama unataka kuwekeza kwenye hiyo kitu bora ununue Litecoin, Dogecoin, Blackcoin, bitcoin japo rate yake ya ukuaje imeshuka. Mtu aliyenunua bitcoin 1 mwaka jana April kwa $450 leo anauza bitcoin kwa $1200.
 
Iko hivi Dinazarde.

Sijasoma hadi mwisho lakini hiyo ni cryptocurrency ama kwa lugha raisi ni digital money, mfano mzuri ni bitcoin ambayo juzi thamani yake iliizidi thamani ya dhahabu katika soko la kimataifa.

Mimi nakushauri usiwekeze pesa yako kwa hao vibaka, naeza sema vibaka kumaanisha scammers. Kwasababu zifuatazo;-

1. Cryptocurrency yoyite lazima iwe standardised kimataifa, yani mfano mzuri ni ukitaka kununua whitedent original lazima iwe imepita TBS. Sasa digital currency yoyote lazima ithibitishwe na CCSS - CryptoCurrency Security Standard. Sasa hao hawana hiyo kitu.

2. CryptoCurrency nyingi huwa ziko devalued, yani hazina thamani. Hapo sijui wamesema thamani yake ni kiasi gani, lkn nafahamu by any means hiyo thamani itakuwa ipo overrated. Kwamba hata ukiinunua leo unaweza kukaa miaka 50 haijafika thamani halisi uliyoinunua.

3. Uimara wa fedha. Sithani hiyo currency iko imara kiasi cha kuweza kuappreciate with time. Sioni hiyo coz ni imekaa kilocal local.

Kama unataka kuwekeza kwenye hiyo kitu bora ununue Litecoin, Dogecoin, Blackcoin, bitcoin japo rate yake ya ukuaje imeshuka. Mtu aliyenunua bitcoin 1 mwaka jana April kwa $450 leo anauza bitcoin kwa $1200.
Wanasema eti inazinduliwa april,,asante kwa kunielewesha shukrani
 
Back
Top Bottom