Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Big up sana kamanda Ontario.

Sasa nna suali moja.

Dhahabu umesema ni 112m hiyo naufuatilia sana.

Lakini nakufuatilia kwa hiyo issue ya Mlimba.
 
Much thanks my biggest boss Kobe
Mkuu hongera sana, binafsi nahitaji kupata japo direction toka kwako mkuu, nimehitimu udsm mwaka jana bt ajira ndio hvyo tena.. Naomba unipe mwanga wa pakuanzia mkuu, iwe biashara au kilimo ni sawa tuu.. Nina kamtaji kiasi flani hvi. Natanguliza shukrani. Siwagi online sana ila napatikana hapa 0752 399070
 
Kila jambo jema limeongelewa katika huu uzi asee, mimi natoa shukran zangu za dhati najiona mpyaa baada ya kusoma mawazo haya mkuu ONTARIO.

Ila nna ombi moja kama unaweza mshauri mtu anayetafuta mtaji hata mdogo sana aanzie wapi maana hili nalo ni tatizo

All in all thank you brother
 
aisee! mpaka nimeishiwa cha kuzungumza!
hongera sana mkuu
 
Mkuu ungekuwa specific huo mtaji mdogo kwako unaanzia kiasi gani?!

Lakini mimi binafsi mtaji wangu wa kwanza ulitokana na 'personal savings'. Kila shingi 100 niliyoipata nilihakikisha sipotezi hata shingi 10 kwa kitu kisicho na maana.
 
Mkuu nahitaji kujua kuhusu hizo media za kimataifa uliwasiliano vipi mpaka ukawa featured kwenye media zao, ulivyowasiliana nao ??
Kama hii ni 1 ya 'business model' ama 'strategy' ya biashara yako basi jiandae kufail. Mimi nilivyoanza nilikua nina agenda zangu - hayo mengine yote yalitokea on the process. Wananitafuta wenyewe Twitter, LinkedIn, FB na email pia iliyopo kwa web yangu.
 
Nimeuliza kwasababu nilivyoona Amorrette ya Jack Mengi Forbes nikajua tu lazima kuna connection kazifanya au kafanyiwa na Mengi
 
Ila una mihemko sana ya kibavicha kijana punguza "Mihemko"
 
Mkuu ANTARIO umenipotezea mkuu, nimekuomba msaada na nimeweka no yngu hapo juu.
Soma post # 393 nilivyomjibu huyo mdau wangu wa nguvu.

Angalia namna alivyouliza swali lake, at least nijue wapi naanzia. Kisha tazama ww ulivyouliza.
 
Mimi Nadhani mtaji wako huo unaodhani ni kidogo ungeutaja angeanzia hapo kukushauri alisisitiza hatowasiliana na mtu yeyote wala kujibu pm
Nadhani ungejimwaga hapa mkuu ili kama ni ushauri utolewe hapa wengine watanufaika pia .
 
Ngoja nikabet maana kwenye kubet niko super perfect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…