Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Safi sana jamaa, nakukubali sana maana unahamasisha hata mtu huchoki kutiririka na uzi, ni bonge la elimu!
 
Mkuu
 
Mkuu njoo pm
 
Naomba kuuliza ni Traktor gani zuri kwa kulimia,kuanzia Horse Power(HP),jina la traktor na uhimilili wake kikazi...
 
Asante ndugu Ontario. Nimemega kitu hapa. Nitarudi na mrejeshi. Big up. Stay blessed.
 
Nimekulia kwenye kilimo, lakini niko hivi,

Aisee haiwezekani, nami nanunua mabawa nimfukuzie ONTARIO kama mwewe anavyofukuzia vifaranga vya kuku.

Salute sana boss
 
Bro ONTARIO tuko the same age lakini umeshaniacha kimafanikio.....

Daah! Sio fair kabisa...

Ila hakuna namna itabidi nijifunze kupitia kwako.

Hongera sana Serjeff Dennis, najiuliza imewezekana vip kwa mazingira yetu ya kibongo!!

Kwa kweli nadhibitisha kwa kusema Mungu ameweka kitu ndani yako. Appreciate bro!

Bado naendelea kujifunza Forex Trading.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daahhh!

Hii dose ni balaa, imepenya hadi kwenye mifupa.

Ahsante sana Mkuu ONTARIO
 
ONTARIO. Kwa ufupi kilimo kinalipa sana jamani. Ila hapo kwa trekta la kukodi ndio umenifungua ngoja nijaribu mwakani.
 
Kuna wakati hadi najiona mpuuzi yaani! Eti JF nimeingia zamani sana (sijui 2011)halafu madini kama haya ndo nayashtukia karne hii ya August 2017!?! Huu si upuuzi kweli!?! Eti jamani, yaani kila siku nakesha na siasa tu!?!

Poor me! Asante dogo ontario, tangu wiki mbili zilizopita nimeanza kupekua uzi wako mmoja baada ya mwingine na nimeahidi akili na utashi wangu kwamba nikitoka bure bila kufanyia kazi, Sina sababu ya kuendelea kuwa member wa JF!

Thanks much, ngoja niendelee kukusoma kimya kimya uzuri nimeshajithibitishai kuwa uyasemayo yote yana usahihi wa 100 %maana nimeona baadhi ya kazi zako hope ni Dw - YouTube!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAJINGA NDIO WALIWAO

ENDELEA KUWATAPELI MAANA KILA SIKU WATU HAWAJIFUNZI

NIMEPENDA NJIA YAKO YA KUTAPELI , UMEJITOFAUTISHA SANA NA MATAPELI WENGI WA HUMU
Unajifanya unajua kuanalyze kumbe we kapuku tu, watu wako serious na maisha bana, akutapeli wewe una kipi sasa cha kutapeliwa? labda akutapeli tigo yako ndo kitu unachomiliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu achana na Huyo ana hisia za kike aende zake akaimbe mipasho na kina mama nasma, huku atuache wajasiriamali wenye kiu ya maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa napenda sana kusikia motivated story kama hizi, kutoka kwa motivated people kama huyu Ontario. Thanks bro, wewe umeshathubutu umeweza, bado ngoma ipo kwetu kutekeleza yale uliyosema, maana tatizo la Wabongo wengi lipo kwenye utekelezaji tu. Kiufupi nimekuelewa sana chief kwa jinsi ulivyotuonyesha sayansi ya kusaka mafanikio. Nitaku-Pm coz nakaproject nategemea kukafanya.
 
Vp broo ...miezi hyo njia hua zinapitik kwa gari kama fuso uko?
 
Broo...
Usikute n masuala ya cboma choma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…