Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Huyu jamaa si niliskia alikua anatafuta kiki ili awaingize mjini na mkaingia kweli?
Hapana pamoja na kutafuta kiki lkn ameinvent kitu kikubwa sana kwa wabongo, wengi hatukuwa tunaifahamu Forex lkn baada ya jamaa kuizungumzia kila kitu kipo open now na wengi wananufaika ingawa wapo waliokula za uso pia
 
Nyuzi za ushoga, ulevi na umbea, kukashifu dini sinaenda kasi ya 4g kuliko nyuzi za ujasiriamali, siasa na technology
Je nini kifanyike ili kuwasaidia wana JF wengine??? na kizazi hiki cha mitandao ya kijamii

Maana imekuwa ni kawaida kwa walio wengi kumfuatilia mfano Mange kwenye mitandao ya kijamii na ni nadra sana tena sana kumfutiali Prof. fulani ya UDSM (Wanataaluma) au Ndugu R. Mengi (Wafanyabiashar/ wajasiriamali) au hata viongozi wa Dini kwenye mitandao ya kijamii!
 
Je nini kifanyike ili kuwasaidia wana JF wengine??? na kizazi hiki cha mitandao ya kijamii

Maana imekuwa ni kawaida kwa walio wengi kumfuatilia mfano Mange kwenye mitandao ya kijamii na ni nadra sana tena sana kumfutiali Prof. fulani ya UDSM (Wanataaluma) au Ndugu R. Mengi (Wafanyabiashar/ wajasiriamali) au hata viongozi wa Dini kwenye mitandao ya kijamii!
Hili tatizo ni kubwa mkuu,
Apa inabidi tukubaliane tu, mabadiliko yapo lakin hayo mabadiliko muda mwingine sio kama tunavyoitaji
Ata mabadiliko ya kipumbavu nayo ni mabadiliko

After all let us appreciate old days when jf was house of great thinkers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom