Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Nilivyoanza kusoma ilinibidi niruke maneno ili kukuikuta iyo fursa....naaaaaam fursa nimeiona.....sitaki kukujua wewe ni nani wala ukweli wa manenonyako bali nimejifunza sana kwa uliyotushirikisha.....Ukweli lazima niseme...nimejifunza na ulipwe juu ya hili mkuu ameen
Tatizo avatar yako inatishia mafanikio
 
Uzi ni mrefu lakini nimeusoma mpaka mwisho bila kuchoka na nitaurudia tena baadae kwa kumbukumbu zangu, madini kama haya ilibidi tununue ila we umetupa bure kabisa. Binafsi nimejifunza kitu na ntaanza kuchukua hatua soon
 
Nlisoma article kuhusu wewe mwaka jana,its good kuona unazidi kwenda extra miles as wengine tukipambana kupitia other platforms..congrats mkuu,lets get this
 
Pamoja sana mkuu.

Ulisoma wapi mkuu, I mean source gani?!
Kuna mtu alinipa,akanambia mlisoma wote mbagala,katika pics ulizotuma ni mradi wa kuku ndo uliongelewa sana..unless otherwise niwe nimechanganya..lakini kwa descriptions zote na aina hii ya audacity itakua ni wewe tuu.correct me kama siko sawa

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom