Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Nimemfatilia sana Sirjeff Deniss(ONTARIO) miaka ya 2016,2017,2018 nikiwa chuoni hadi miaka ya 2021 nilichokuja kugundua kwa huyu jamaa ni ana uwezo mkubwa sana wa akili(very very smart), Ni watu wachache sana wenye upeo mkubwa kifikra, kiakili, kimtazamo kiasi hicho na ndio maana ametumia hiyo kma advantage ya kuwatapeli wengi wao humu JF.
 
Nimemfatilia sana Sirjeff Deniss(ONTARIO) miaka ya 2016,2017,2018 nikiwa chuoni hadi miaka ya 2021 nilichokuja kugundua kwa huyu jamaa ni ana uwezo mkubwa sana wa akili(very very smart), Ni watu wachache sana wenye upeo mkubwa kifikra, kiakili, kimtazamo kiasi hicho na ndio maana ametumia hiyo kma advantage ya kuwatapeli wengi wao humu JF.
Walio tapeliwa ni wale wenye upeo mdogo wa akili na wenye kutaka kumiliki hela kwa shortcut
 
Walio tapeliwa ni wale wenye upeo mdogo wa akili na wenye kutaka kumiliki hela kwa shortcut
Mimi niliendaga training moja tu ya forex ktk maisha yangu, ya pale Jangid Plaza.

Since then baada ya kupata basics nikaendelea kujinoa alone, uzuri nowdays kila kitu kiko online..

Waliotapeliwa ni wale wa kupelekeshwa kwa upepo, wakiambiwa hiki wamooo, wakiambie kile wamooo, akija sijui guru kutoka South wamoo, wakitikiswa kidogo wamejaa. Hao ndo wameteseka sana, na waliwa pesa sana mpaka wakaichukia forex.
 
Huwezi tapeli mkubwa na wa kimataifa kama huna akili nyingi. Huyu jamaa ana akili nyingi sana na maarifa makubwa plus alivyokutana na mapopoma wa jf akawapiga kilaini tu akakimbilia south africa kuenjoy na kidemu chake cha kizulu. Nandy,ruge wote aliwapiga vizuuuuri tu.
 
Back
Top Bottom