Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Eb ngoja kwanza twambia dawa moja yenye maajabu ajabu tukathibitishe kwanza kama ni kweli?
 
Kwani wewe bado ni mchawi??
Hujasema mahali kua umeacha ama umeachaje achaje!!
Kama bado mchawi basi nakusihi umrudie muumba wako mkuu.
 
Haya bhana [emoji1787][emoji1787]
 
Vipi mkuu cheo ulichopata ulikua waziri wa nin? Au bado mbunge wa viti maalumu? [emoji848][emoji848][emoji848]3
 
Kama kuandika unachoka Sana nenda Radio free Africa ktk kipindi Cha sitosahau ukahadithie.
Nimeipnda sumulizi yako mkuu pia huenda ukatoa kitabu
 
Nimekata tiketi hii siti yangu nasubir Mkuu aendelee kutema madini ya gizani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…