Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Sawasawa,, nakupa kazi nyingine saiz kuna sura naiona huko juu ina smile flani hivi so amazing,,, muulize kama wa kwenye avatar ni yeye😊🙈
Ahahahahahahah ni mwenyewe huyooo...
Nikupe na prove kabisa au.. nipite private
 
Ndio mkuu kasura kangu kabaya hakavutii akanichomolea
Unafikiri kila mwenye sura NZURI HUVUTIA?
Sio kweli...wanaume tunapenza kwa namna ya ajabu sana, unaweza kupenda JICHO, SAUTI, LIPS, NYONYO, TAKO AU MGUU.
 

Asante mkuu
 
Unafikiri kila mwenye sura NZURI HUVUTIA?
Sio kweli...wanaume tunapenza kwa namna ya ajabu sana, unaweza kupenda JICHO, SAUTI, LIPS, NYONYO, TAKO AU MGUU.

Sasa mkuu kama sijamvutia si ndio vyote sina hivyo
 
Mimi chuo nimekataa mademu watatu kisa sijavutiwa nao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Halafu pisi kali zote wakanitolea nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimetoka kapa [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Bonge la kapa
 
Point muhimu sana.
Nimekuelewa mnoo
sio kila nyama ni ya kula. N muhimu kuzishinda tamaa pia. Yupo dada mmoja wa kimbulu anakuja kwa kasi sana ila siwezi kula ata tubaki humu dunian mimi na yeye.
 
Mimi huwa Nina huruma sana,mwanamke akijileta lazima nimle,kuwatolea nje huwa nawahurumia

Huwa naamin jukumu langu la kwanza hapa duniani ni kuzisasambua mbususu

Kitu kinachoniboa kwa Hawa wadada,mwingine anajileta mwenyew nikishamla anataka kunipiga vizinga Tena wakati yeye mwenyew ndo kaileta,sjaiomba
 
Weka picha yako tuone,kama kweli ulikuwa pisi Kali. Weka hata kwa kuficha sura. Iwe picha ya kusimama na miguu mpaka vidole vionekane kwa wazi. Maana nathaminishaga mpaka kwenye miguu na vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…