Ratiba iwe fixed madam mana unapoteaga fullAya bhana😄🙌
Weka picha yako tuone,kama kweli ulikuwa pisi Kali. Weka hata kwa kuficha sura. Iwe picha ya kusimama na miguu mpaka vidole vionekane kwa wazi. Maana nathaminishaga mpaka kwenye miguu na vidole
Tungekuwa hatuoni wewe usingekataliwa mkuu.
Daah umenikumbusha mbali:
2016 kuna wadada wawili walinitokea aisee
Kipindi hicho niko kwenye penzi zito na mdada mmoja ivi
Si nikawakataa eti nina mtu
Miaka miwili mbele Nikajapigwa kibuti na yule mdada.
Ikabidi nirudi kwa wale nao wakanikataa kabisa..niliumia sana
Kwa sasa napitia vibuti natamani siku zirudi nyuma
Sema kuna mtu unaweza mkataa leo, miaka ijayo akakushangaza na usijue uzuri kaupatia wapi. Unabaki kujilaumu tu.[emoji2][emoji2]
Kweli tena.Daah inawezekana kweli
Relax😊,, kazi niliyokupa imeshia wapi kwanza 😳Ratiba iwe fixed madam mana unapoteaga full
[emoji848]sio kila nyama ni ya kula. N muhimu kuzishinda tamaa pia. Yupo dada mmoja wa kimbulu anakuja kwa kasi sana ila siwezi kula ata tubaki humu dunian mimi na yeye.
yaah lazima uwe na standards zako[emoji848]
Ye wa kwanza ulipogundua hakufikishiwa ujumbe je ulimpa au ulighairi maana halikuwa kosa,lake?Throwback
Zamani hizo nishawahi kutongoza wakaka wawili
Wa kwanza
Huyo kaka nilikuwa nampenda mpk namuogopa yaani naona aibu nilikuwa natetemeka hata akinisemesha nikikutana nae na mkwepa
Nikamtuma best angu akamwambie mimi nimekufa kwake nimeoza [emoji23][emoji23] Yule mbwa alienda kumtongoza yeye akawa ana date nae sasa nikawa najiuliza yule kaka ina maana kanikataa ama… baadae nikaja kugundua ilikuwa ni nyege maana ndio nilianza kukuakuaa kipindi hicho
Yule jamaa tulivyokuwa wakubwa ndio alikuja kuniambia kwamba ujumbe haikufikishwaa badala yake niliemtuma aliniibia
Wa Pili
Kaka mmoja wa kisabato yule kaka ni handsome halafu ni wale tall na dark halafu ndevu zipo nikiwa niko first year yeye yupo mwaka wa 4 kwa mara ya kwanza tulikutana cafeteria weeee nilimpenda palepale alikuwa na best ake uzuri ukaja best ake alikuwa anafahamiana na best yangu akaja kumsalimia
Kijana nilievutiwa nae tumwite P yeye alibaki kwa mbali hakutusogelea pale tulipo basi wakasalimiana na rafiki angu wakaondokaa..
Nipo hostel na best yangu nikamuuliza habari za wale vijana ila P hakuwa akimjua alisema tu huwa anamuonaona tu pamoja na huyo best ake..
Siku hiyo tumekaa nikamkumbuka P ikabidi nimtege shoga angu vipi leo twende tukatembetembee hostel za kina P uzuri na yeye alikuwa na mishe za kwenda huko akasema jioni tutaenda… Kweli bhn jioni yake tukaendaa mpk hostel za kina P
Tulipoingia room tukawakuta vijana wengine tu wanapiga story wakatukaribisha tukakaa pale rafiki angu alikuwa msemaji mimi kwa kuwa sikuwa nawajua nilikua kimya tu najisemea moyoni mbona P hatokei
Tulikaa kama dk 10 nikamuuliza best angu mbona yule kijana simuonii?? Yeye akaniuliza kijana gani nikamwambia yule wa siku ile cafeteria si akaCheka kwa nguvu wale vijana wakasikia[emoji3][emoji3]
Ikabidi wamuulize vipi akawaambia namuulizia P weee jamani mashemeji ni wanoko kama unavojua wanaume kwa unafki wakachukua simu wakampigia
Oyaa kaka njoo huku kuna Pisi kali anakuuliziaa [emoji1787]Nyie jmn niliona aibu
Aisee P hakuchukua hata dk 5 akaingia room[emoji15] kumbe chumba chake kilikuwa floor ya juu tu
Basi bhn alivoingia nikaanza kujifichaficha si unajua tena aibu za kike[emoji6][emoji6] Wenzie wakaanza Mamamzungu uliekuwa unamuulizia kaja wee nilitamani kukimbia
Yule kaka alinisogelea mpk nilipokaa akanisalimia vizuri akaiuliza jina langu tukabadilishana namba akawa ananipigisha story mimi sasa ndio mpolee
Baada ya kurudi hostel zetu .. nikachukua simu yangu maana niliicha hostel (Mimi huwa sitembei na simu kubwa mara chache sana unikute barabarani nimeshika smartphone)… Nikaingia WhatsApp nikakuta P kanicheki
Tukachart chart basi lile likaka lilacs hata halinitongozi [emoji38][emoji38][emoji38]
Ikabidi mimi ndio nianze kazi ya kumtongoza na nyimbo za maua Sama ile ya mwenzako nakuelewa [emoji16][emoji16]
Ni hivi tulikuwa na urafiki but hakuwa kunitongozaa mpk anamaliza chuo.. kilichokuja kunikera kwake ni yeye kumwambia rafiki angu kuwa nimemtongoza aisee nilijisikia vibaya sana… nikamtoa moyoni na nikamwambia kwamba sikupenda kama alikuwa hanitaki asingemueleza best angu
Tangu siku hiyo mazoea yakaisha nikafuta namba yake alikuwa akinitafuta sijibu… imepita miaka mingi sasa tunawasiliana vizuri halafu sasa ndio ananitongoza nimemwambia tu hapana kwasasa sina hisia nae kabisaa
NB: Yule Kijana alikuwaga na demu wake niliambiwaga na best ake ndio maana aka ananikwepaa [emoji38][emoji38][emoji38]
Safi.yaah lazima uwe na standards zako
Mwanaume umtongoze akatae? Atakataa kukuoa siyo kula papuchi aisee
Huwa husomi nyuzi humu humu jf zinazoletwa na baadhi ya wanaume waliowakataa wanawake waliotongozwa nao huku wakitoa visingizio vya ustaarabu. Mwanaume akiwa hana nguvu sawasawa lazima amkwepe mwanamke.Mwanaume umtongoze akatae? Atakataa kukuoa siyo kula papuchi aisee
Tangu ameolewa na huyo jamaa wana miaka mingapi,kama alikuelewa na mnawasiliana ni suala la muda tuStory yako kama yangu tu, mimi na sister wangu ila sio tumbo moja tulikua tunasoma darasa moja.
kipindi nipo form two ndo niliamiaga hiyo shule aliyokuwa anasoma huyu ndugu yangu wa kike,tulikua tunasoma darasa moja.
Tulivoingia form 3 tukatengana madarasa sister yeye alikua kwenye masomo ya biashara, Kuna shoga ake na sister alikuaga ananipenda sana anaitwa zawadi
Huyo dem alikua anakujaga sana hom kwa shoga yake yaanib(sister wangu)kumbe huyo dem ndo alikua ananifukuzia mimi[emoji23].
Nikaja kusikia stor kwamba me natembea na zawadi, mpka darasani ikawa ndo story nataniwa sana wakati hata sijawahi kutoka na huyo zawad. Yaani hata mazoea hatuna zaid ya salam. Kumbe huyo zawad ndo aliwaambia madem wenzake kwamba jbst ni mchumba wangu na sister alikua anajua kinachoendelea ila anakausha.
Huyo zawad akawa anajiletaga sna tu hom anajifanya kuja kumtembelea shoga ake kumbe hana lolote ananifukuzia ananitaka. Kipindi hicho tupo form four sasa ikaja ikatokea tukazoeana kama ma rafik maana sister ndo kama alituunganisha kishkaji.
Yule zawad sikuwahi mtongoza ila alikua anaitega sana nimtongoze, tulikuwa tunachart ananichatisha sana sio kawaida ila sikuwahi mtongoza, mpaka tunamliza form 4 sikumtongozaga tukaja kupoteana maana aliondokaga na akawa hapatikanagi.
Ikapita miaka 5 siku moja naperuzi FB nikawa naangalia walioniomba urafiki maana walikua wengi kama 30 hivi,mimi huwa nakubali urafiki mtu mpaka nimkague kwanza picha zake au vitu anavyopost kama nikivielewa nikiona haeleweki nafuta na kama hajaweka picha nafuta pia.
Yule zawad nikaona picha yake kumbe aliniomba urafki mda tu nikamcheki messenger tukabadilishana na namba tukatumiana picha siku hiyo nilijikuta nampenda na kumtaman sana ila nikakausha kwanza.
Nikaona kesho yake status kampost brother mmoja anaonekana ndo mtu wake kutokana na caption aliyoandika, alafu jamaa anaonekana kanizidi hata uchumi maana nilikua najitafuta
Nikaanza utaratibu wa kumtongoza zawadi nisijechelewa zaidi, aliniambia ukwel nimechelwa na ana mtu wake wanakaribia kuoana!! Akasema ananipenda hata yeye ila nimechelewa akanimbia alianza kunipenda toka tupo shule ila ndo nilikua najifanya Mgumu simuelewi. Nikamjibu ulikua utoto dah!
Nilikubaliana na hali halisi tukabaki washkaji tu japo huwa ananitafuta sana yeye kuliko mimi kumtafuta kwenye sim ,ananiona kama rafk tu na mimi nilishakubaliana na ukweli tunaheshimiana tu.
Ila roho iliniuma sana nikajuta sana bora ningemlaga kipindi kile, dem pisi kali balaaa nimeikosa
Mbona ka ujanipa kazi in funny way madamRelax😊,, kazi niliyokupa imeshia wapi kwanza 😳
Uje kwangu nikulowazeThrowback
Zamani hizo nishawahi kutongoza wakaka wawili
Wa kwanza
Huyo kaka nilikuwa nampenda mpk namuogopa yaani naona aibu nilikuwa natetemeka hata akinisemesha nikikutana nae na mkwepa
Nikamtuma best angu akamwambie mimi nimekufa kwake nimeoza [emoji23][emoji23] Yule mbwa alienda kumtongoza yeye akawa ana date nae sasa nikawa najiuliza yule kaka ina maana kanikataa ama… baadae nikaja kugundua ilikuwa ni nyege maana ndio nilianza kukuakuaa kipindi hicho
Yule jamaa tulivyokuwa wakubwa ndio alikuja kuniambia kwamba ujumbe haikufikishwaa badala yake niliemtuma aliniibia
Wa Pili
Kaka mmoja wa kisabato yule kaka ni handsome halafu ni wale tall na dark halafu ndevu zipo nikiwa niko first year yeye yupo mwaka wa 4 kwa mara ya kwanza tulikutana cafeteria weeee nilimpenda palepale alikuwa na best ake uzuri ukaja best ake alikuwa anafahamiana na best yangu akaja kumsalimia
Kijana nilievutiwa nae tumwite P yeye alibaki kwa mbali hakutusogelea pale tulipo basi wakasalimiana na rafiki angu wakaondokaa..
Nipo hostel na best yangu nikamuuliza habari za wale vijana ila P hakuwa akimjua alisema tu huwa anamuonaona tu pamoja na huyo best ake..
Siku hiyo tumekaa nikamkumbuka P ikabidi nimtege shoga angu vipi leo twende tukatembetembee hostel za kina P uzuri na yeye alikuwa na mishe za kwenda huko akasema jioni tutaenda… Kweli bhn jioni yake tukaendaa mpk hostel za kina P
Tulipoingia room tukawakuta vijana wengine tu wanapiga story wakatukaribisha tukakaa pale rafiki angu alikuwa msemaji mimi kwa kuwa sikuwa nawajua nilikua kimya tu najisemea moyoni mbona P hatokei
Tulikaa kama dk 10 nikamuuliza best angu mbona yule kijana simuonii?? Yeye akaniuliza kijana gani nikamwambia yule wa siku ile cafeteria si akaCheka kwa nguvu wale vijana wakasikia[emoji3][emoji3]
Ikabidi wamuulize vipi akawaambia namuulizia P weee jamani mashemeji ni wanoko kama unavojua wanaume kwa unafki wakachukua simu wakampigia
Oyaa kaka njoo huku kuna Pisi kali anakuuliziaa [emoji1787]Nyie jmn niliona aibu
Aisee P hakuchukua hata dk 5 akaingia room[emoji15] kumbe chumba chake kilikuwa floor ya juu tu
Basi bhn alivoingia nikaanza kujifichaficha si unajua tena aibu za kike[emoji6][emoji6] Wenzie wakaanza Mamamzungu uliekuwa unamuulizia kaja wee nilitamani kukimbia
Yule kaka alinisogelea mpk nilipokaa akanisalimia vizuri akaiuliza jina langu tukabadilishana namba akawa ananipigisha story mimi sasa ndio mpolee
Baada ya kurudi hostel zetu .. nikachukua simu yangu maana niliicha hostel (Mimi huwa sitembei na simu kubwa mara chache sana unikute barabarani nimeshika smartphone)… Nikaingia WhatsApp nikakuta P kanicheki
Tukachart chart basi lile likaka lilacs hata halinitongozi [emoji38][emoji38][emoji38]
Ikabidi mimi ndio nianze kazi ya kumtongoza na nyimbo za maua Sama ile ya mwenzako nakuelewa [emoji16][emoji16]
Ni hivi tulikuwa na urafiki but hakuwa kunitongozaa mpk anamaliza chuo.. kilichokuja kunikera kwake ni yeye kumwambia rafiki angu kuwa nimemtongoza aisee nilijisikia vibaya sana… nikamtoa moyoni na nikamwambia kwamba sikupenda kama alikuwa hanitaki asingemueleza best angu
Tangu siku hiyo mazoea yakaisha nikafuta namba yake alikuwa akinitafuta sijibu… imepita miaka mingi sasa tunawasiliana vizuri halafu sasa ndio ananitongoza nimemwambia tu hapana kwasasa sina hisia nae kabisaa
NB: Yule Kijana alikuwaga na demu wake niliambiwaga na best ake ndio maana aka ananikwepaa [emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli wewe ni poor brain🤦♀️🤦♀️,, tena mama anatakiwa aongeze ada kabisa 😌😐Mbona ka ujanipa kazi in funny way madam
Sana man👊Huwa husomi nyuzi humu humu jf zinazoletwa na baadhi ya wanaume waliowakataa wanawake waliotongozwa nao huku wakitoa visingizio vya ustaarabu. Mwanaume akiwa hana nguvu sawasawa lazima amkwepe mwanamke.
Hiyo nadharia yamo inawork kwa malijali kamili tu sio kila mwanaume.