Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Nikisikia mwanaume anakataa mwanamke nashangaa sana maana ni nadra sana kutokea. Pole mkuu siku nyingine usiwatongoze wawekee mazingira waanze wenyewe
 
Nikisikia mwanaume anakataa mwanamke nashangaa sana maana ni nadra sana kutokea. Pole mkuu siku nyingine usiwatongoze wawekee mazingira waanze wenyewe
Sasa anayetongoza hana mvuto hata kdogo labda.
 
Ulikuwa domo zege
 
Duh [emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Bahat za kutongozwa kama hizi sjui kwann sisi wengin hatupat kudadeki
 
Etii Mbwa yule akajitongozesha mwenyewe hahahaa..... Nimejikuta nacheka kwa sauti.
 
Kuna katoto kalinipenda kanaitwa Naomi. Nikakakubalia .
I swear sijawahi date na mdada mzuri kama yule. Unajua uzuri mkuu??
Mixer kalinipa nafasi nikabikiri. Kalinipenda haswa.

Naomi nakupenda milele ila natafuta Hela zaidi maana hela ndo zilikukimbiza. Ila mimi natafuta legacy yangu .

Anyway nina damu mbaya na wadada tena mabikra toka shule. Ofcoz me ni kauzu badman mmoja hivi. An Alpha male
 
Tangu ameolewa na huyo jamaa wana miaka mingapi,kama alikuelewa na mnawasiliana ni suala la muda tu
Sina hizo tabia za kuhangaika na wake za watu , wanawake wapo wengi sana
 
Lipia TANGAZO
 
Ooh hongera mkuu umekula chumvi
Asante Mkuu, hapa tunakuja kupunguza upweke maana Tanzania hatuna vituo vya kulelea Wazee kama Ulaya.

Ukishastaafu kazi unakuwa mpweke sana 😒 afadhali JF ipo kutukutanisha kama hivi
 
Naomi mwavimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…