Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Mbinu ni moja ni kuwa badman. Ukiwa masculine harufu yako itawafikia nao watakutafuta kwa udi na uvumba[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119] Sawa mkuuu... Ila una bahat aisee
Sijaelewa hata....Mbinu ni moja ni kuwa badman. Ukiwa masculine harufu yako itawafikia nao watakutafuta kwa udi na uvumba
Mimi huwa nawakataa Sana Tu. Hata awe pisi Kali vipi. Nikimkubali ujue ndio naoa huyo huyoooo[emoji3]Nikisikia mwanaume anakataa mwanamke nashangaa sana maana ni nadra sana kutokea. Pole mkuu siku nyingine usiwatongoze wawekee mazingira waanze wenyewe
Yaani uwe muhuni ndio utawapata wengi .Sijaelewa hata....
Kwani mamdogo, wewe haya hayajawahi kukukuta?Ila daah😀😀😀
Hivi jana na juzi umekula nini lakini dada To yeye?Mwanaume umtongoze akatae? Atakataa kukuoa siyo kula papuchi aisee
Dah..!! Tutafika mbinguni hoii..!!!🤣Nimeshangaa kweli....maana hawa misumali yao ipo active 24 hours
Siezi tongoza mtu mimi 😀😀wanaume ni wengi aiseeeKwani mamdogo, wewe haya hayajawahi kukukuta?
Ila wa kumzimikia umewahi..!!??Siezi tongoza mtu mimi 😀😀wanaume ni wengi aiseee
Na nashukuru nnaowazimikiaga wote naoIla wa kumzimikia umewahi..!!??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani nimecheka kama mazuri ha ha ha sio vizuri, kwahiyo wenye sura za Baba zao tukae pembeni!Sikumfanyia hvyo coz mimi sina dada. Nilimjibu nilichomjibu kwasababu ni mbaya! Siwezi kudate demu mbaya abadan.
Wapo vijana wenye huruma huwa wanazoazoa tu, all they care about is kuchakata mbususu tu.yaani nimecheka kama mazuri ha ha ha sio vizuri, kwahiyo wenye sura za Baba zao tukae pembeni!
Kama hujaoa ndugu yangu utakuja angukia pua hutaamini ha ha ha.Wapo vijana wenye huruma huwa wanazoazoa tu, all they care about is kuchakata mbususu tu.
🤣🤣🤣Dah..!! Tutafika mbinguni hoii..!!!