Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Ye wa kwanza ulipogundua hakufikishiwa ujumbe je ulimpa au ulighairi maana halikuwa kosa,lake?

Nilisha ghahirii Halafu kipindi kile ilikuwa ni katika makuzi tu
 

[emoji23][emoji23] majuto ni mjukuu
 
Yaani mwanaume akatae pisi kali??

Jiangalie vizuri mkuu, yaani wanaume unawatongoza halafu unakula cha mbavu, sijawahi ona hii.
Hata ile umeonesha interest ya kumtaka mwamba halafu yeye hajisogezi kwako hata kidogo alooo jitafakari huenda huvutii.

Soma Soma comments za wanaume wenzio
 
Nikisikia mwanaume anakataa mwanamke nashangaa sana maana ni nadra sana kutokea. Pole mkuu siku nyingine usiwatongoze wawekee mazingira waanze wenyewe

Walikuwa hawaelewi
 

Daah huyo Naomi isije ikawa ndio yule shoga angu alieniibia crush wangu… maana ni the same name
 
Mostly,men's are very cheap!imekuwaje wamekukataa?hao viumbe ukiwaangalia tu Kwa jicho la huruma Yuko tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeshangaa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…