Jinsi nilivyokuwa nadhani nimeokoka kumbe ni wakala wa ibilisi kanisani

Duh wapo sana watu kama hawa chini
Ya mwamvulli wa Dini "TRUST NO "
 
Wacha bwana huyu ndio Mzee Bujibuji og naemjua!
Stori za kuchangamsha genge
Wapi Giresi?

Karibuni tupate Alkasus mujarab!
☕☕☕☕
 

Luka 6:41-45​

Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ na huku huioni boriti iliyomo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyomko jichoni mwako, na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako. “Mti mzuri hauzai matunda mabaya, wala mti mbaya hauzai matunda mazuri. Watu huutambua mti kutokana na matunda yake. Ni wazi kwamba watu hawachumi tini katika michongoma, wala hawachumi zabibu katika mbigili. Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina bora iliyomo moyoni mwake; na mtu mbaya hutoa yaliyo mabaya kutoka katika hazina mbaya iliyo moyoni mwake, kwa maana mtu huongea kutokana na yale yaliyojaa moyoni mwake.
 
Ila mabandiko yako ya hivi karibuni yanatia shaka sana kama ni wewe kweli au kuna kiumbe ka hack akaunti yako. Tunaweza kuja sikia kumbe umehamia CCM. Muda utaamua....
 
Mk Mkuu unayo NAFASI ya KUTUB.MUNGU HAJAKUTUPA MJA WAJE WAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…