Jinsi nilivyokuwa nadhani nimeokoka kumbe ni wakala wa ibilisi kanisani

Yaacheni magugu yaote pamoja na ngano..yatapepetwa siku ya mavuno.

Mrudieni Mungu.

Jina la Yesu lihimidiwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wewe mzee sasa unazeeka vibaya!!! kwa nini umeamua kusema uongo namna hii ???!!nakuuliza weye? na unijibu ili uwe salama! hivi kweli wewe uingie kanisani na Mungu huyu! ! nae mjua huyu!! akuvumilie kiasi hicho kweli? kwanza njoo hapa, na fimbo zako kabisaa!

tena unyooke!! Macho chini matako juu! ukishika nimefuta! ndo ujue Mungu hadihakiwi!!!
Baa yesu alikuwa km wewe!! kumbe bado mpo wengi humu Duniani sasa subiri!!...... vingi nevyo utubu haraka na Hadharani, kabla mda haujaisha!
 
Shetani mkubwa we ngoja nikuwashaie moto mwana ibilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…